Daaaah kwanza nataka ujue strategy yangu ya kwanza ni Love doesn't ask why? hivyo ndivyo nilivyoamua kupenda na umri naoutaka ni huo,tunaenda kwa area commissioner pale tutawekeane masharti yote khs mali zako na zangu pamoja na watoto wako.khs sharia nilisoma mwaka wa kwanza.
1.Msikitini/Kanisani ..wengi walioenda huko saa hizi ni majanga yamewasonga
2.Swala la umri naamini atakua keshamaliza michezo yote na mauongo yote ya kucheat kwa mwanamke(matured enough)so kwakua mimi nina watoto naye pia anao kuzaa haipo...
3.Mimi nina gari mbili moja ntampatia ili tufanye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.