Recent content by esm

  1. E

    Natafuta mume miaka 54-58

    Mambo hadharani nikimpata kila mtu ajue..ina maana ww huwezi mwaga sera hadharani hadi ujifichemo?
  2. E

    Natafuta mume miaka 54-58

    Daaaah kwanza nataka ujue strategy yangu ya kwanza ni Love doesn't ask why? hivyo ndivyo nilivyoamua kupenda na umri naoutaka ni huo,tunaenda kwa area commissioner pale tutawekeane masharti yote khs mali zako na zangu pamoja na watoto wako.khs sharia nilisoma mwaka wa kwanza.
  3. E

    Natafuta mume miaka 54-58

    Sasa ndg yangu mie ndio nilokufanya uwe conductor?povu lote la nini?
  4. E

    Natafuta mume miaka 54-58

    Mwanangu wa mwisho yuko chuo mwaka wa pili ...usiogope mekuuu...by the way sijaja kuomba msaada wa kusomeshewa ...
  5. E

    Natafuta mume miaka 54-58

    We nawe wa wapi??aibu ya nini?
  6. E

    Natafuta mume miaka 54-58

  7. E

    Natafuta mume miaka 54-58

    with my two open palms...................
  8. E

    Natafuta mume miaka 54-58

    Mtoto uliyemzaaa...usiyemzaaa.....unalijua hilo mwenzangu?
  9. E

    Natafuta mume miaka 54-58

    Heee kumbe sawa shida yako ni nini sasa hapo ?
  10. E

    Natafuta mume miaka 54-58

    chardams..umevuka kidogo ngoja nikikosa kabisa wa taget yangu i'll thnk bout you.
  11. E

    Natafuta mume miaka 54-58

    He don't know ones woman used to him can be a treasure to nxt man!haya huyo hapo wa siku tatu mie wa miaka 800 niteme
  12. E

    Natafuta mume miaka 54-58

    Unamaanisha watu wakistaafu wanakufa?hawatakiwa kupendwa na kulelewa?mi si muuaji na sijawahi waza biashara ya ku-RIP... Azote....THINK LIKE AMAN!
  13. E

    Natafuta mume miaka 54-58

    Kwanza una miaka mingapi?
  14. E

    Natafuta mume miaka 54-58

    Hivi heee.....M INASINYAAAAAA na K INABANAAAAA Haaaa haaaaaaaaaaa
  15. E

    Natafuta mume miaka 54-58

    1.Msikitini/Kanisani ..wengi walioenda huko saa hizi ni majanga yamewasonga 2.Swala la umri naamini atakua keshamaliza michezo yote na mauongo yote ya kucheat kwa mwanamke(matured enough)so kwakua mimi nina watoto naye pia anao kuzaa haipo... 3.Mimi nina gari mbili moja ntampatia ili tufanye...
Back
Top Bottom