Recent content by eSIM

  1. E

    Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

    Mimi nachezeshea home.. sehemu sio nzuri sijataka kuchukua fremu.. na hawajazoea.. siku zingine unapata 8 mara 20 mara 15 hvyohvyo ila hawajapajua kabisa yaaani Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
  2. E

    Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

    Una screen ngapi mkuu? Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
  3. E

    Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

    Nimeanza hii biashara ni wiki sasa, mwitikio bado sio mzuri nina Ps 4 moja tu na kahisense kangu inch 32.. siku ya kwanza nilipata 10,500 na siku ya pili nkapata 20,000... baada ya hapo ni 8,000 mara 10,000 mara 7,000 ila maisha yanaenda. Nimenunua PS 4 na TV. Pia imebidi kujenga chumba kimoja...
  4. E

    Akaunti ya PS4 imeblock internet, msaada tafadhali

    Mimi nina ps 4 games zake zipo offline.. je kuna siku zitajiblock na sijawah connect online na sina huo mpango
  5. E

    LATRA Kibaha na wahusika simamieni magari yafike mwisho wa safari kama mlivyoyasajiri

    Mzee wangu kama ulifanikiwa kununua Mashamba miaka hiyo sasa hivi wewe ni Milionea maana Kibaha kumekucha haswa hayo maeneo ya Kwa Mathias, Mkoani, Filibert Bay/Mkuza, Sofu, Picha ya ndege, Gill(Pangani), Lulanzi.
  6. E

    LATRA Kibaha na wahusika simamieni magari yafike mwisho wa safari kama mlivyoyasajiri

    Sasa kama tatizo ni hilo la kutokuwa na abiria si mambo yatakuwa yaleyale hata yakianzia Njuweni - Sofu? Ilitakiwa iwe hivi, gari iite Kibaha> Njuweni> Picha ya ndege>Sofu alafu ikifika Njuweni itapakia wengine wa Sofu, ikifika Loliondo hvyohvyo na ikifika Picha ya ndege itaendelea kupakia...
  7. E

    LATRA Kibaha na wahusika simamieni magari yafike mwisho wa safari kama mlivyoyasajiri

    Kuna magari mengi sana ya Mbezi - Mwanalugali, Mbezi Boko Mnemela na sasa Mbezi Sofu yamesajiriwa kupeleka abiria huko lakini yanaishia Njuweni - Kibaha hii ni kikwazo kwa wakazi wa maeneo hayo maana gari zipo lakini hakuna hata moja inayoenda huko. Sasa hii ruti mpya ya sofu magari ni mengi...
  8. E

    TARURA Halmashauri ya Mji wa Kibaha mnakera

    Km moja si ni pale shule ya twendepamoja!? Maana viwanja vya halmashauri navyovijua vipo kule maeneo ya shule ya msingi sofu au mimi ndo sielewi mkuu
  9. E

    TARURA Halmashauri ya Mji wa Kibaha mnakera

    Mimi nilinunua Sofu pale mbele ya kanisa la Rc na mbele kidogo ya ile nyumba nzuri iliyopo barabarani kabisa yenye mataataa.. nlinunua Sq 1,600 kwa mil 7 kipo Mita 200 kutoka barabarani na ni KM 5.5 kutoka Morogoro road. Kampuni ilipima ikaweka mitaa vizuri kabisa. Ila sasa nilikuwa nataka...
  10. E

    TARURA Halmashauri ya Mji wa Kibaha mnakera

    Mkuu mbona hujajibu hii
  11. E

    TARURA Halmashauri ya Mji wa Kibaha mnakera

    Vumbi ni kali sana japo naona sasa hivi limepungua kidogo, kama wanaiweka rami itakuwa jambo jema na itabust maendeleo ya Sofu. Na pia mimi si mwenyeji sana Kibaha. Kwa Kibaha TC ni maeneo gani mazuri sana na ushuani? Maana kila Wilaya au mkoa kuna sehemu huwa kunaziangalia kama ushuani kwa...
  12. E

    TARURA Halmashauri ya Mji wa Kibaha mnakera

    Hio barabara ya Sofu imewekwa hvyo vibao pale mwanzo (picha ya ndege) na kule mwisho (njia ya kwenda Mnemela) je inataka kuwekwa rami au nini kinaendelea? Na mbona Tarura wanaichonga mara kwa mara kuliko barabara zingine ndani ya Kibaha TC?
  13. E

    Naomba kujua namna ya kuplay youtube background videos huku nikendelea na vitu vingine kwenye simu

    Kwanza Download y-tube player (floating for youtube)ytube alafu fata hizi hatua Step 1: Open the Video that you like to play on Floating Window in 'YouTube App'. Step 2: Tap on 'Share' link, and then select the 'Y-Tube Player'. Step 3: Tap on Popup player, and then select your choice like...
  14. E

    Je quality ya picha kwa dstv unapata zaidi ya 1920×1080 kama una 4k tv?

    Mkuu nahitaji program gani ili kudownload hizo movies? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. E

    Msaada: Anayefahamu jinsi ya ku configure smart TV ionyeshe local Chanel bila king'amuzi cha nje

    Hisense Smart Tv imekataa kupata hizo channel kwa antena ya mwiba wa samaki ya startimes Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom