Recent content by eshijo

  1. eshijo

    Huyu mwanamke ametuaibisha

    Ushauri utafika ndugu.. Karibu..
  2. eshijo

    Huyu mwanamke ametuaibisha

    Picha ninazo na watu wengi wanazo ila humu haifai ni noma Kwa sasa kwa sheria ya juzi.. Ila zilitembea whatsap magroup ya kutosha.. Cha muhimu ni ushauri kwa sasa
  3. eshijo

    Huyu mwanamke ametuaibisha

    Siyo hivyo Mkuu ila ni aibu sana
  4. eshijo

    Huyu mwanamke ametuaibisha

    Kuna mtumishi mmoja wa idara moja hapa mbulu ameolewa na mume wake yuko Arusha mjini. Kwa ufupi ni malaya kupindukia hadi sisi watumishi wenzake tunaona aibu kwa anachokifanya kutokana na tabia yake ya umalaya na ulevi kupindukia. Katika kutembea na wanaume mbalimbali akaangukia kwenye mikono...
  5. eshijo

    Nimekoma kuazimisha gari

    Duuh...pole mkuu
  6. eshijo

    Jiji la Mwanza vs Jiji la Arusha: Lipi ni zaidi kwenye hili?

    Tatizo la Arusha kila mtu ni mjanja Kwa mwenzie
  7. eshijo

    Kwa madaktari wa meno mliomo humu

    Nina Mtoto mwenye umri wa miaka 10 kasoro. Anaota Yale meno kiswahili tunaita magego but yamemfanya augue kabisa hata kula hataki akimeza chakula koo linamuuma. Nilimpeleka Hosp tukapewa dawa anatumia mpaka sasa but nafuu bado..ni kweli ni jino tu au kuna tatizo lingine?
Back
Top Bottom