mimba ilishaharibika ndg,baada ya hapo ckupata tena,nikaenda hosp nikafanyiwa vipimo vya hsg sikuwa na tatizo,doctor akanipa dawa za kusaidia ovulation,nilizimeza mwezi wa nane mpaka leo sijapata hedhi na nimepima mimba leo hamna kitu,alinipa dawa ziitwazo clomi plan,