Nakumbuka niko zangu home, demu ananitext,”mambo” nikajibu “Poa!” Baada ya hapo text zikawa nyingi, mara “ I am hungry “! Nikaagiza chakula si huyooooo akaja kuchukuwa, baadaye akaamuwa kulia chakula hicho kwangu, huku tukiendelea kupiga story,
Baadaye akauliza kama nina wine, bahati nzuri huwa...