Radiology itakumaliza nakushauri Fanya uombe kozi nyingine hata pharmacy mzeye ..iyo kozi kuna vitu vinaitwa X-RAYS,GAMMA RAYS,hiyo mionzi ni hatari ndugu unakufa mdomdo
Nilichaguliwa first selection ya form 5 mchepuo wa PCB Mwaka huu, lakini nikaumwa sana sikuweza kwenda hivi naongea nipo nyumbani tu, swali langu je nikiomba shule mwakani naweza pata nafasi kwa shule za serikali?
Na pia naogopa kwenda shule ya advance private kwamba naweza kukosa mkopo pindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.