Sawa tulikubaliana hakuna kuhonga.
Ila kilichonikuta kwa Fatuma hadi nimempa kiwanja.
Ni siri yangu tu najuwa hata angekuwa mwenyekiti mwenyewe asingechomoka kwa huyo mtoto!
NAKAZIAAA
Yule mtoto jambazi.
Niwaulize tu kidogo humu ndani hivi ni nani kati yenu anaijuwa style ya
INGIZA KAMA...
Pole sana kijana kwa changamoto hio!
Ukitaka urudishiwe mahari yako na gharama zote alizo kugonga hivi sooni akidai anasafiri kwenda kijijini kwa bibi kumbe anakwenda kwa bwana yake wapigie voda ni utapeli huo.
Wapigie vodacom waambie tapeli la mitandao umelidaka upo nalo!
Maana voda jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.