Recent content by ericmarimbo

  1. E

    Rais wa nchi kuiita pesa ya nchi yake pesa ya madafu, kiongozi kweli huyo?

    Ni hela za madafu maana walibeba kwa Magunia, viroba, sandarusi na mafuso siku nzima. Ingelikuwa ni US dollars hata gunia moja lisingejaa
  2. E

    Nyalandu Umeshindwa kazi uliyopewa

    Nyalandu kwa elimu uliyonayo na kwa kuwa umeishi sana nje ya nchi na kwa uzoefu uliopata kwa kuwa Naibu waziri wa utalii nilitarajia mabadiliko makubwa sana kwenye hii wizara. Utakumbuka miaka miwili iliyopita tulihamasishwa sana kupigia kura vivutio vitatu ambavyo ni Mlima Kilimanjaro...
  3. E

    Arusha kufanya matembezi ya wiki ya nenda kwa Usalama

    Wanachama wote wa UKAWA tokeni na mabango ya kupinga bunge la katiba huu ndio upenyo
  4. E

    Zitto ondoka tulishakupa talaka

    Hivi huyu mjomba mbona hataki kuondoka? Uchaguzi ndani ya chama umeisha na hajapata nafasi yoyote lakini hataki kuondoka anang'ang'ania kama kupe. Tulishakufukuza ondoka ukajenge ACT yako pamoja na CCM. Kama ni pesa za kinywa mgongo siatapewa na bwana zake wapya wa CCM? Wasaliti wote...
  5. E

    Updates za yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA

    We ---- nenda hospital ukatibiwe hicho kisonono.
  6. E

    Nani wa kutoa upinzani mkali jimbo la Ngara ndani ya CCM dhidi ya Dr. Philemon Sengati?

    This is ----ing comment. Tz tunazidi kuwa maskini kwasababu moja kubwa, wasomi wanaacha taaluma zao na kukimbilia kwenye siasa, na hili limesababishwa na serekali ya CCM kwa wanasiasa kujilipa pesa nyingi huku wasomi wakilipwa kiduchu ndio maana kila mtu anatamani siasa. Ifike mahali wanataaluma...
  7. E

    Kama Nyerere angekuwepo

    Kama si photoshop basi basi huyo jamaa angelala lupango
  8. E

    Kama Nyerere angekuwepo

    Mbona Mugabe amezeeka sana, na bado ni chuma cha reli.
  9. E

    Kima cha chini cha Mshahara kupanda hadi kufikia zaidi ya shilingi 300,000

    We mleta mada inavyo onekana ulishirikiana na waziri kuandaa hii taarifa kabla haijasomwa bungeni. Ndio maana kabla hata ys dk 5 baada ya kusomwa ulishaipost. Lakini ujinga wako ulishindwa hata ku edit
  10. E

    Kama Nyerere angekuwepo

    Ungeza mistari kwenye hii hipop Kama Nyerere angekwepo ufisadi usingekuepo Kama Nyerere angekuepo viwanda vingekuepo Safari nyingi za ulaya zisingekuepo kama angekuepo Udini na ukabila usingekuepo Wachumia tumbo wasingekuepo Mzee wa Richmond angekua selo kama angekuepo Ooi ooi oooiiii
  11. E

    Serikali yaamriwa kuanzisha mchakato wa mgombea binafsi, ni baada ya Mtikila kushida kesi

    Wananchi wepi? Au hao mnaowakamua kila siku kama ng'ombe wa maziwa.
  12. E

    Nyie CCM adui yenu ni wizi wenu si CHADEMA wala UKAWA

    Kwa akili fupi na finyu hawa Maintarahamwe MACCM kama anavyoyaita Kamandangu Lissu wanadhani adui yao mkubwa ni CHADEMA ama UKAWA, nasema hapana. Adui yenu ni nyie wenyewe kwa kuendelea kuiba fedha za Uma mamilioni kwa mabilioni, bila kuona hata aliyewekwa selo. Adui yenu ni Mwenye Nchi...
  13. E

    CCM ya Kinana inavyohangaika kukimbizana na CHADEMA ya Dkt. Slaa

    Ni kweli kijana Kinana ni jembe hata tembo wanajua
Back
Top Bottom