Kama hiyo alliance sijui niliudhulia mikutano yao pale makumbusho watu hawafanyi kazi wako business na hayo makampuni wengine wameacha kazi zao wengine wanafunzi wameacha masomo eti wapo full time alliance niliwashangaa sana aisee
colin_morgan
Yaani hayo makapuni siku hizi kila kona yapo aisee utapeli tu umejaa kazi kunufaisha mataifa ya wenzetu halafu sasa watu wanajiunga kwa bei kubwa mnoo kwanzia laki tano mpaka mamilioni ya pesa huko halafu mpaka uje kuona faida yake ufanye kazi kama mtumwa
kwa kweli hata mimi huwa nafanya ila puchu ina madhara makubwa napata maumivu makali sana kwenye miguu nikitembea kwa muda mrefu ila kwa sasa ninamiezi mitatu nimepunguza naona unafuu. Mwenyezi Mungu atusaidie tuache kabisa
Nina ushauri kuna SMS nililetewa kutoka startimes ilikuwa inasema unaweza klipia king,amuzi kwa siku 1000 shilling au kwa mwezi elfu kumi na mbili vipi kuhusu kile kifurushi cha wiki mbili ambacho kilikuwa ndo at least
Samahani mimi fomu yangu tayari nimeahatuma ila nimebakiwa na copy yake na bado ninayo halafu sijakamilisha maombi kwa njia ya mtandao sasa ninaweza kupeleka hiyo copy kwa ajili ya scanning au??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.