Wana jf naomben mawazo jpo kidogo kwa haya yalio nisibu....
Leo nilikuwa ndan na mpnz wangu baada ya kupeana raha msg iliingia kweny simu yangu akatak aisome nikakataa tukanyang'anyana simu hatimae nilifanikiwa kuinusuru simu yangu na hakusoma kitu chochote nikasepa zangu.
Sasa usiku huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.