Ni kwanini kuoana ndugu kunakatazwa?
Sababu kubwa ni kwamba kuna magonjwa ya kurithi, kwaiyo mkioana ndugu ni rahisi watoto kuzaliwa na hayo magonjwa kwakua 'gene' za wazazi zinakua zinafanana kwa kiasi kikubwa. Magonjwa kama albinism, sickle cell, pumu n.k. Kwa waliosoma biology (genetics)...
Pia ni wazee wa fujo sana, ukizingua kule kupigwa shaba sio jambo la kushangaza,
Pia kuna kipindi kulikua na vikundi vya mtaani kama manguruweni ukizinguana na mmoja wapo anaenda kukuitia wenzake wanakupa kipigo.
Pia akimtokea demu akamchomolea, anakuja na wenzake wanamchukua kwa nguvu wanaenda...
Watu bwana, mtu yupo radhi aue mwenzake/afanye uzinzi/matusi kwa sana/Pombe kwa sana ila kitimoto atakuambia sili hata kwa bunduki. Kwamba kula kitimoto ni dhambi isiyosameheka ama? Hizi dini tuzifuate lakini zisitufunge akili pia.
Wazee kama ukila hufi na wala haikuletei madhara kiafya kula tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.