Mtalia sana safari hii,mshazoea uzulumaji ,kupandikiza watu wenu,mawazo yenu sasa chama kimekuwa kichungu .soon mtaomba kifutwe ndiyo mjue hamupendwi mnalazimisha tu.
Toka Tundu Lissu agombee urais TLS kila mtu anafatilia chama hiki,mwanzo waliokuwa wanafatilia Na kukijua chama cha mawakili walikuwa mawakili wenyewe na watanzania wachache ,lakini Leo hii hata kijini TLS inafahamika.kuna watu wanakubalika nchini
ANAANDIKA MDAU WILAYA YA KIGAMBONI
HUYO DADA ANAYEDAI NI MTOTO WA MH, LOWASA NI MPUUZI JINA LAKE HALISI ANAITWA FATUMA SELEMANI CHIKAWE, AMEKULIA MAGOMENI KWA MUDA WOTE ALIKUA ANAISHI GETO HAPO MAGOMENI, KWASASA ANAISHI MTAA WA UNGINDONI KATA YA MJIMWEMA WILAYA YA KIGAMBONI,KABLA HAJAOLEWA NA...
Ahaaaa haaaa kuzaa na mtu shida ipo wapi hapo,Duuuu tukitaka kunyosheana vidole serious tutachafuana ,tuna wabunge viti maalumu kibao sana serikali ya awamu 4 ,wadada waatumishi wa uma kibao wamepata nafasi kisa kuzalishwa na kiongozi mkubwa juu.
Wewe mwenyewe muandikaji hii post umeua watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.