Pia inavyoonekana magari toka chang'ombe kuja town or wherever yanapendelewa sana hasa kwenye mataa ya chang'ombe na kuna tetesi jamaa huwa wanarushiwa kitu kidogo ndio maana wanaotoka asubuhi gongolamboto au kurudi jioni wanasimama mda mrefu sana pale kwenye mataa mkuu wa trafic inabidi...
Mnyamwezi ni kabila kubwa sana ila watu huwa hawajui na ndio mkoa wa tabora ulikuwa mkubwa sana na hata baada ya,kupunguzwa bado ni mkubwa mpanda kigoma sumbawanga katavi inyonga zote zilikuwa,ni tabora lakini inasemekana hata msukuma ni chimbuko la mnyamwezi ila wawo wamelimeza kabila la...
Mimi nadhani CAG awe anakabidhi report moja kwa moja kwa speaker wa bunge, hii iwe sambamba na mabadiliko katika sheria CAG nafasi yake itangazwe pia awajibike moja kwa moja bungeni na sio ikulu
Zama zako zimekwisha wewe nilikufagilia sana ulipokuwa bungeni ukipewa mda wa kuongea nilikuwa nawahi seat ya mbele ila kwa sasa huna mvuto umepauka kabisa hivi kweli report CAG umesoma wewe mpaka uhitaji evidence za zito ni kweli wewe machali shame on you lione kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.