Kwenye majadiiliano yeyote huwa ni win win situation kuna mambo serikali lazima ikompromise na hao wengine lazima kuna baadhi ya mambo lazima wakompromise ndio mtafikia hatima vinginevyo yatakuwa sio majadiliano
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nadhani hujaelewa bado alichokiandika Kafulila nenda kasome tena ndio uje ujibu labda unaweza angalau ukapatia kwa mbali
Au msubilini zitto ndio aje amjibu Kafulila
Kafulila kajibu hoja zote kwa ufasaha nyie mnakwama wapi kwa mfano hiyo hoja yako
Kafulila anasema sekta binafsi bado changa kwa...
Mwakyembe sasa umejulikana na sura yako halisi imejitokeza kwamba wewe ni mtu wa majivuno na majigambo.
Unapaswa ujue kwamba elimu ni maarifa ni kweli una elimu lakini huna maarifa na inawezekana elimu yako inakutesa mno, ivi hiyo imekusaidiaje au hapo ulipofika ndio kikomo cha elimu yako...
Huwezi kupata maendeleo kama hakuna demokrasia muwe mnafikiri vizuri hata haya unayaona yanafanyika ni kwa sababu ya utisho wa kidemokrasia. Sijui mnakwama wapi kufikiri vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu dunia ya Leo sio kumhubiria mtu afanye kazi. Atajituma mwenyewe tu hiyo michezo haina madhara yeyote sema viongozi hawana maarifa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bunge la nchi yetu ni dhaifu mno tena zaidi ya alivosema mkaguzi.
Mbona hamjajadili hata kidogo mbunge mwenzenu alivyoshambuliwa mmekaa kimya utadhani jambo la kawaida.
Mbona pesa za serikali wakati flani hazipitii bungeni lini mliuliza hata maswali juu ya hilo kama huo sio udhaifu ni nini
Mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.