Tetesi: Imevuja, Chadema na Tundu Lissu wachomoa kukutana na Richard Quest wa CNN

Ha ha matusi yanaonesha ulsivyo na hoja, kwa hiyo hajui lingine zaidi ya siasa? au swali alilomuuliza Kenyatta kuwa utagombea mara ya tatu ni swali la kibiashara?nimyi mmewekwa mitandaoni kutukana watu na sio kujenga hoja.

Nyie mnaudhi kwa hii high level yenu ya stupidity display!

Mpaka mnamfanya mtu ana-loose it!

Sasa interview ya RQ na Uhuru ilikua ni kuhusu nini generally?

Ni uchumi wa Kenya na focus ilikua kwenye biashara yao ya KQ baada ya kupata route ya NYC!

Na ilikua maalumu kwa ajili ya kipindi chake CNN Business Traveller,maalumu kwa news na biashara ya usafiri wa anga!

Swali moja au mawili about his political gymnastics lazima liwepo!

RQ amuhoji Tundu Lissu interview kuhusu siasa halafu hiyo interview itaoneshwa kwenye kipindi gani cha RQ hapo CNN?

RQ ana vipindi vya Quest Means Business,CNN Business Traveller and CNN Marketplace Europe!

Specialization ya RQ ni Business Correspondent and Business News Anchor....na ni special Aviation Correspondent wa CNN!

Mambo yenu ya siasa kwa RQ pelekeni matakoni kwenu!

Yaani CCM mnaudhi sana with your dishonesty...mtakufa kwa uongo nyie!
 
Bila shaka utakuwa mkurungenzi wa wilaya kakonko unasifia kulinda cheo chako. Mbuzi wa kijani wewe.
 
Mzee unafeli sana

Richard Quest ni mtangazaji wa biashara CNN!

Sasa Tundu Lissu yeye ni habari za kisiasa,wapi na wapi wewe mduwanzi!?

Atamuhoji amuweke kwenye kipindi gani?Kipindi cha RQ ni cha siasa?

Mbuzi wa maziwa!
Umemmaliza, jinga Wakudadavuwa

Richard Quest is CNN's foremost international business correspondent and presenter of Quest Means Business; the definitive word on how we earn and spend our money. Based in New York, he is one of the most instantly recognizable members of the CNN team.

Quest Means Business, which airs weekdays at 1600ET/2200CET on CNN International, destroys the myth that business is boring, bridging the gap between hard economics and entertaining television
 
Ndugu zangu,

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.

Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.

Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.

Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.

Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Pumbavu, RQ wapi nawapi na siasa za majukwaani! Huyu ni wa biashara! Umefeli, rubbish!

Richard Quest is CNN's foremost international business correspondent and presenter of Quest Means Business; the definitive word on how we earn and spend our money. Based in New York, he is one of the most instantly recognizable members of the CNN team.

Quest Means Business, which airs weekdays at 1600ET/2200CET on CNN International, destroys the myth that business is boring, bridging the gap between hard economics and entertaining television
 
Ndugu zangu,

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.

Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.

Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.

Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.

Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Lissu anawapumulisha sana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.

Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.

Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.

Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.

Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]

Michango haitoki tena.
 
Ha ha ha aende tu akaongee maana hakuna jipya atakaloongea zaidi ya zile pumba alizoongea BBC . Yaani kama hiyo ndo strategy ya CHADEMA ya kumtumia Lissu kuichafua TANZANIA basi watafute mtu mwingine
 
Ndugu zangu,

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.

Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.

Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.

Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.

Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Mtu ambaye ni makini kwa vyovyote hawezi kuandika kwa mtindo huu. Uandishi wa namna hii unaendana na matamshi ya watu wambeya. Sidhani kama jukwaa hili linahitaji dhihaka ya kiwango hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mkuu huna shughuli za kufanya ? muda wote wewe na simu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni naibu waziri ati! Kutwa yupo humu na sijui majukumu yake kamwachia katibu wake au dereva naye anatosha! Hili malo litazamwe upya kama kuna haja ya kuwa na manaibu mawaziri katika nchi hii ili kuwapungizia makali ya maisha walipakodi kwani hawana umuhimu wowote na hata kazi zao hazieleweki! Waondolewe na pesa zinazowahudumia zifanye shughuli nyingine kwa wananchi
 
Back
Top Bottom