Recent content by Erick Martie

  1. Erick Martie

    Kwa wanaotaka Taarifa na Huduma za Scholarships mbalimbali karibu katika WhatsApp group la Education Scholarship....

    Haya wale wanaotaka Kusoma Ulaya nchini UK... Hiyo ni full funded scholarship opportunity kila kitu kipo covered... Jiunge na link au nichek directly
  2. Erick Martie

    Kwa wanaotaka Taarifa na Huduma za Scholarships mbalimbali karibu katika WhatsApp group la Education Scholarship....

    Group hili tunatoa huduma Mbalimbali za Kufanya application na taarifa zote zinazohusu Current scholarships available na namna ya kufanya Application mpaka kuweza kutimiza ndoto yako ya kusoma Abroad. Pia kuelimishana namna bora ya kujaza taarifa zako ndani ya Mifumo ya scholarship na vyuo...
  3. Erick Martie

    Nawezaje kupata scholarship ya Masters program?

    Nitumie no. Yako ya sim dm nitakutafuta...!
  4. Erick Martie

    Haya wapenzi wa fifa, fifa17 cracked imetoka.

    Mwenye latest cracked pc games, tuchekiane wazee, tunaweza kubadilishana
  5. Erick Martie

    PC Game Trading?

    Oii nimeona hii post yako ingawa ya zaman... Coz bado naamin if you were once a gamer, always you will be a gamer... So nna game kadhaa hapa za pc... Vp bado unazo game especially latest ones for trading!?
  6. Erick Martie

    Bachelor of Clinical Medicine

    Kuna nyuz niliionaga nadhan ilikuwa sijui bachelor clinical medicinal and surgery, chek nyuzi za nyuma na ninahis inasomwa hiyo koz nchin Rwanda, nimekupa hints jaribu kufuatilia zaid
  7. Erick Martie

    Ushauri kuhusu Bachelor of Pharmacy na Master of Chemistry

    Kwa mawazo yangu tu, at least ungekuwa umefanya Msc in Chemistry ukibase kwenye Analytical Chemistry ingeendana na hiyo bpharm, kwenye analysis hususan za dawa na cosmetics
  8. Erick Martie

    Nataka kusoma Clinical Medicine. Je, hali ya ajira ikoje?

    Wewe nenda kaombe hauna cha kupoteza afterall unaufaulu mzuri, ila kama unataka GPA kubwa nenda private, mengineyo akili kumkichwa
  9. Erick Martie

    Huu ufaulu kidato cha nne nisome tahasusi gani?

    Nenda CBG Au Diploma koz za Afya
  10. Erick Martie

    Bachelor of public health

    Masiya yaan upo sahihi kabisa naona unawaelewesha vijana ambao wana'majibu yao kichwani na wanataka ku'force iwe ndivyo sivyo. Kiuhalisia upo 100% right, so swala la kukubaliana nawe au kukataa ni juu yao. Kwa ambao wapo kwenye Medical Arena hili swala linaeleweka vzur kama ulivyolifafanua...
  11. Erick Martie

    Mdogo wangu anaacha kusoma C.O ili akasome short course ya flight Operator

    Mhh miaka ya siku hizi, kozi za afya ndo mpango hata kama utakosa ajira ya serikalin ukijichanganya kitaa haulali njaa ila hizo kozi zingne sijui short course za kimagumashi! Anyhow afanye anachokipenda, ila ndo kama ingekuwa mdg wang ni kumkalisha chini akomae na CO, afu sio lazima Degree...
  12. Erick Martie

    Kusoma nje ya nchi

    Utaratibu ukishapata chuo husika cha nje ya nchi lets say China, India au popote dunian, unaenda TCU kupata No Objection Certificate kwa ajili ya kukitambua na kutathmini kama una sifa ya kujiunga kozi hiyo tajwa! Then ukipata unaendelea na hatua zingine za admission kweny chuo hicho!
  13. Erick Martie

    Series (Special thread)

    Wadau naitafuta hii movie ya zaman kdg, 2010 The year we make contact. Website ntakayoweza ku'download naombeni link tafadhal, nafaham kuna wajuvi wa mambo haya, msaada wenu tafadhali [emoji1545]
Back
Top Bottom