Group hili tunatoa huduma Mbalimbali za Kufanya application na taarifa zote zinazohusu Current scholarships available na namna ya kufanya Application mpaka kuweza kutimiza ndoto yako ya kusoma Abroad. Pia kuelimishana namna bora ya kujaza taarifa zako ndani ya Mifumo ya scholarship na vyuo...
Oii nimeona hii post yako ingawa ya zaman... Coz bado naamin if you were once a gamer, always you will be a gamer... So nna game kadhaa hapa za pc... Vp bado unazo game especially latest ones for trading!?
Kuna nyuz niliionaga nadhan ilikuwa sijui bachelor clinical medicinal and surgery, chek nyuzi za nyuma na ninahis inasomwa hiyo koz nchin Rwanda, nimekupa hints jaribu kufuatilia zaid
Kwa mawazo yangu tu, at least ungekuwa umefanya Msc in Chemistry ukibase kwenye Analytical Chemistry ingeendana na hiyo bpharm, kwenye analysis hususan za dawa na cosmetics
Masiya yaan upo sahihi kabisa naona unawaelewesha vijana ambao wana'majibu yao kichwani na wanataka ku'force iwe ndivyo sivyo.
Kiuhalisia upo 100% right, so swala la kukubaliana nawe au kukataa ni juu yao.
Kwa ambao wapo kwenye Medical Arena hili swala linaeleweka vzur kama ulivyolifafanua...
Mhh miaka ya siku hizi, kozi za afya ndo mpango hata kama utakosa ajira ya serikalin ukijichanganya kitaa haulali njaa ila hizo kozi zingne sijui short course za kimagumashi!
Anyhow afanye anachokipenda, ila ndo kama ingekuwa mdg wang ni kumkalisha chini akomae na CO, afu sio lazima Degree...
Utaratibu ukishapata chuo husika cha nje ya nchi lets say China, India au popote dunian, unaenda TCU kupata No Objection Certificate kwa ajili ya kukitambua na kutathmini kama una sifa ya kujiunga kozi hiyo tajwa! Then ukipata unaendelea na hatua zingine za admission kweny chuo hicho!
Wadau naitafuta hii movie ya zaman kdg,
2010 The year we make contact.
Website ntakayoweza ku'download naombeni link tafadhal, nafaham kuna wajuvi wa mambo haya, msaada wenu tafadhali [emoji1545]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.