Recent content by ericford

  1. E

    KUHUSU UCHELEWESHAJI MIKOPO TIA

    Ufumbuzi ni nini sasa au tunakaa tu kimya
  2. E

    KUHUSU UCHELEWESHAJI MIKOPO TIA

    Nanyi mmekaa kimya?
  3. E

    KUHUSU UCHELEWESHAJI MIKOPO TIA

    Safari hi hatuwaelewi aisee
  4. E

    KUHUSU UCHELEWESHAJI MIKOPO TIA

    Wana TIA tulitakiwa tupata quarter 4 toka tarehe 12/5 mpaka Leo hi hatujasign chochote na hakuna taarifa yoyote Zaidi bodi ya chuo inatuambia tukutane kesho kuna kikao
  5. E

    Matumizi sahihi ya mkopo wa HESLB kwa wanafunzi

    matumizi mazuri ni kula kuku mzima siku nzima..bila kusahau kwenda club na watoto wakaliiii wa vyuo...ni bata tu
  6. E

    Kutransfer boom

    mi nataka nipate boom ili niongezee kwny ada je inawezekana...mana tuition fee sijapata
  7. E

    HESLB watoa awamu ya tatu ya mikopo 2015/16

    naomba kuuliza eti chuoni hautosain boom mpk ulipe ada mana mi sijapata tuition feeni nimepewa accomodation na stationery je lina ukweli hili?
  8. E

    Kuna uwezekano wa HESLB kutoa lot ya nne au ndo mwisho?

    naomba kuuliza eti chuoni hautosain boom mpk ulipe ada mana mi sijapata tuition feeni nimepewa accomodation na stationery je lina ukweli hili?
  9. E

    HESLB yasisitiza watu wote watapata mikopo, Lot ya nne inakuja

    naomba kuuliza eti chuoni hautosain boom mpk ulipe ada mana mi sijapata tuition feeni nimepewa accomodation na stationery je lina ukweli hili?
  10. E

    Diploma Holders waliopata mkopo

    mimi bsc in social protection na sijapata mkopo
Back
Top Bottom