Recent content by erasto Samwel

  1. erasto Samwel

    JamiiForums Tanzania Kanuni za Mapingamizi ya Mgombea haya hapa

  2. erasto Samwel

    JamiiForums Tanzania Kanuni za Mapingamizi ya Mgombea haya hapa

  3. erasto Samwel

    JamiiForums Tanzania Yote kwa yote Tume Mmejichanganya Tena

    Sheria na kanuni mmezikiuka wenyewe ambazo zinaelekeza vizuri sana Msajili alitakiwa alete pingamizi lake kuanzia leo jioni na kisha Act watoe maelezo utetezi kisha tume iamue na kanuni iko wazi. Pia Tume mnaamuaje kesi bila kusikiliza upande wa Act. Kama kanuni mnaanza kuzishinda hivi mapema je...
  4. erasto Samwel

    JamiiForums Tanzania GE2025 "Mimi na ndugu zangu (wengine ni marehemu) hatukujiandikisha lakini taarifa za tume zinaonyesha tumeandikishwa" . Hii imekaaje?

    Kwani kwenye zoezi la uboreshaji wa daftari la wapiga kura ilipeleka taarifa za watu ambao hawana sifa ya kupiga kura wakiwemo marehemu.kama haikupeleka mamake tume itaota fulani alishafariki
  5. erasto Samwel

    JamiiForums Tanzania Mpina asepa na wananchi jimbo la kisesa ACT Wazalendo, kisesa hapashikiki muda huu

    Taifa kwanza leo na kesho,taifa la wote maslahi ya wote,Anua tanga Safari iendelee
  6. erasto Samwel

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHADEMA imuunge mkono Mpina hata kama ACT sio rafiki, CHADEMA isimamishe wagombea ubunge kupitia ACT na kura za urais ziende kwa Mpina

    Wazo zuri tu na linafanyiwa kazi huko kitaa wengi tu wamegombea
  7. erasto Samwel

    JamiiForums Tanzania Kwenda kukopa nje na kufanya harambee kwa maendeleo kipi bora

    Naendelea kushangaa inafanywa harambee kwa ajili ya kampeni badala ya kufanya harambee ya kununua hata kipimo cha kuwapimia wajawazito damu bule kila wanaporudi kliniki badala ya sasa kila wanaporudi lazima uwe na 3000. inawezekana kumbe tunaweza kufanya harambee ya kutengeneza miundo mbinu za...
  8. erasto Samwel

    JamiiForums Tanzania GE2025 Cheyo aongoza mkutano mkuu wa UDP mgombea urais, mwenza kujulikana leo

    Hivi wanaoongozwa wako timamu kweli jamani
  9. erasto Samwel

    JamiiForums Tanzania GE2025 ACT Wazalendo inakwenda kuwa Chama Cha pili kuongoza Dola Tanzania

    Taifa kwanza leo na kesho.Anua tanga Safari iendelee🖐️
  10. erasto Samwel

    JamiiForums Tanzania GE2025 Manyara: Wananchi wandamana kumkataa Mgombea aliyepitishwa na CCM Kura za Wajumbe

    Watakuwa WACCM walioandamana.uchaguzi wa wananchi bado
  11. erasto Samwel

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nini kinaendelea majimbo ya CCM Mkoa wa Katavi mbona majibu hayawekwi wazi?

    Tulia yanakuja ila Kamwele,pinda na kapufi chali
  12. erasto Samwel

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baba Levo huenda akashinda kuwania Ubunge kwa kura za maoni Kigoma Mjini

    Hata hivyo wajumbe 94 hawakumkubali wakawapa kura wengine
  13. erasto Samwel

    JamiiForums Tanzania CCM ubinafsi, wajumbe wao wamelalamika kidogo, wamekubali kubadili kanuni, ila NRNE wagoma

    Tatizo wananchi ni waoga mpaka aibu maccm yanatufanya yanayotaka tunacheza tu
Back
Top Bottom