Huelewi ndugu hana maana hiyo. Usalama wa hao vibarua haujazingatiwa..no safety boots,no gloves, wamevaa kaptula, reflector jacket huyo mmoja kavaa kihuni halafu serikali inapiga nao picha.Sasa makosa ya wazi hayo serikali iliyopo hapoa inashindwaje kuyaona?
Kujenga kunahusisha kufabricate hizo units. Fabrication haikufanyika ndani ya hayo masaa bali ilifanyika kabla ndio wakaja kuassamble na kusimamisha ndani ya hayo masaa. Kwa hiyo kutumia neno 'kujenga' sio sahihi maana inaweza kueleweka kuwa kila kitu kilifanyika ndani ya hayo masaa wakati sio...
Unamlinda mtoto nyumbani kwa kutoangalia mamiziki na movies za kipuuzi lakini unakutana nayo kwenye mabus siku ya kusafiri na mtoto. Mamiziki mengi Kwenye mabus ni ya kipuuzi yenye kutikisa makalio, kuvuta sigara.Pia unakuta wanaweka movies zenye sehemu wakifanya ngono.
Kuna siku kwenye bus...
Nyinyi mashabiki maandazi ni manafiki Sana. Hivi wewe utaona Sawa na kufurahia timu yako ya Uto ikiambiwa iende ikacheze mechi sokoine Mbeya Kwa mechi iliyopaswa kuchezwa Dar?
Chakushangaza kuna majitu yanalaumu mechi kurudishwa Dar, utafikiri yenyewe yatafurahia tu timu yao ikiambiwa ikachezee sokoine Mbeya mechi iliyopaswa kuchezewa Dar. Unafiki tu.
Ukifikiri vizuri utaona mchango wa TFF lakini ukitumia mihemko hutaona.TFF ndio waliowatafuta hao wadhamini wa ligi NBC bank. Kuna kipindi cha hii TFF ligi ilikuwa haina wadhamini baada ya Vodacom kuondoka.Kumbuka NBC bank ilikuwepo tangu enzi hizo lakini imekuja kudhamini ligi kipindi hiki...
Sijatetea wapuuzi waliozuia mazoezi lakini kulikuwa na namna ya kuwaadhibu na sio kuahilisha mechi.
Kanuni yakufanya mazoezi Kwenye uwanja wa mwenyeji ipo hasa Kwa ajili ya timu ngeni inayotoka mji mwingine au nje ya nchi. Hakuna sababu yoyote ya maana kutaka kufanya mazoezi Kwenye uwanja wa...
Mimi ni Simba lakini nyinyi Uto mna point, hawa TFF mizinguo. Wangekuwa na msimamo Ile siku derby ingechezwa na kama kweli nyinyi mlituma makomando TFF wana mamlaka makubwa tu ya kukomesha huo upuuzi wa makomando na sio kuahilisha mechi.
Lakini nafikiri TFF walikariri kutokana na derby ya...
Hata iwe ni nyakati hizi huwezi kutumia neno 'kamwe'(never).Kwa hiyo wewe unaamini kabisa Simba Vs Yanga, win probability Kwa Yanga ni 100% na Simba ni 0%. Tumia akili na sio mihemko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.