Recent content by Epason

  1. Epason

    Waandishi Clouds 360 wamshukia kama mwewe wakili Msando kwa kupotosha kuwa Arusha hali ni mbaya kwa Corona

    Hata hiyo ya Msando wamesubiri, kwanini wawe wa kwanza na si serikali. Wajibu hoja ya Msando, watoke ofisini waende field, au wanaogopa Corona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Epason

    Waandishi Clouds 360 wamshukia kama mwewe wakili Msando kwa kupotosha kuwa Arusha hali ni mbaya kwa Corona

    Waandishi wa habari za kiuchunguzi sijui kama wapo, Risk ni kubwa alikuwepo JM, Na Kabendera. Na nje kuna kina Kashogi. Hawataki ku take risk, wanataka upande ambao upo soft wanasubiri serikali itangaze then wao wafuate. Wanaogopa kutafuta ukweli au ku balance story. Sent using Jamii Forums...
  3. Epason

    Manyara: RC Munyeti apiga marufuku umoja wa watu wa Kilimanjaro mkoani kwake

    Sheria inasemaje, na hizi groups za WhatsApp nk vipi
  4. Epason

    CHADEMA: Tunasikitika kumkosa Maalim Seif, tulimtaka kweli!

    Kwani kuna watu wanateseka? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Epason

    Tundu Lissu asimamishiwa mshahara na marupurupu yake

    Malipo ni hapahapa Duniani, time will tell. Mara paaa Lisu kawa Rais, watajificha wapi Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Epason

    Hebu ' nishawishini ' na Mimi niamini kwamba Hayati Ghaddafi ndiyo alikuwa akiwatendea vyema Wananchi wake

    Hebu tuwaulize au tujadili maisha ya wa Libya wakati wa Gadafi na baada. Ingawa haituhusu sana kwani sisi tunayo yetu. Wachambuzi watujuze
  7. Epason

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Yaani nguzo Arusha zimekuwa adimu zaidi ya dhahabu. Unaweza kuipata baada ya miezi kadhaa, hivi viwanda tutaendeshaje. Inaleta mianya ya urasimu.
  8. Epason

    Mbowe: Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi walipiga kura na kuzijaza kwenye maboksi. Hatutashiriki uchaguzi utakaoitishwa na NEC

    Ila siku nzi akiacha ujinga anaweza kutengeneza asali, tena tamu kuliko hata ya nyuki wa kawaida. Suala la mda tu
  9. Epason

    Mbowe: Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi walipiga kura na kuzijaza kwenye maboksi. Hatutashiriki uchaguzi utakaoitishwa na NEC

    Voters turnover. Yangu macho na masikio. Ila nampenda farasi wangu, ila anavyoendeshwa sasa. Kanaani mbali saana
  10. Epason

    Vikwazo vya Kikatiba katika kuleta Maendeleo na Demokrasia

    Price tags, wakifika bei unakana uliyosema au kuandika jana . Tubakishe akiba ya maneno. Kama ni kwenye group la wapiga, wengi wameleft kwasababu wanaona ni bora wapambane na hali yao.
  11. Epason

    Sitaki kuamini wala sitokaa niamini kuwa uchaguzi wa Marudio Monduli waliojitokeza kwenye kura ni wengi kuliko wale wa uchaguzi mkuu!

    Haiwezekani nikuteuwe halafu ukamtangaza mpinzani ni mshindi, kipindi cha utawala wangu hilo haliwezekani Huyu moyoni ni ccm kabisa kwa nje ni Chadema ,si uhamie tu ccm tuchape kazi Ifikapo 2020 hakutakuwa na upinzani Haiwezekani niwape fedha za miradi wakati hujaunga mkono bajeti Kiongozi...
Back
Top Bottom