Elewa msingi wa mada, ni sahihi mtendaji kupunguza eneo la shule bila kushirikisha uongozi wa shule? Mambo ya kujenga shule nyingine au matumizi mengine yangejulikana endapo kungekuwa na vikao vya uwazi ambapo mwl mkuu pia angekuwa mjumbe wa kikao hicho. Sio udakie tu. Kumbuka mwl mkuu ni...
Kama mada ilivyo hapo juu.
Shule ya msingi Goziba ni shule ya kisiwani Goziba kilichopo katika ziwa Viktoria wilaya ya Muleba mkoa wa Kagera iliyoanzishwa tangu mwaka 2003.
Mtendaji wa kata ya Goziba ndugu Magreth Peter Mashenji aliunda kikosi kazi ili kiweke mipaka kwenye shule ya msingi...
Nimejitahidi kuangalia mara mbili mbili ili nione kama watu wanaomba msamaha kweli ila sijaona dalili yoyote, hii picha ni miongoni mwa zile za waombolezaji kipindi cha ajali ya ndege
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.