Tatizo ushabiki maandazi mwingi na ile timu timu isiyokuwa na maana..."always am support the good music alive" kukosolewa kwa mwanadamu ni kawaida chukua makosa kayafanyie kazi...mbona kiba wamemkosoa sana huyo diamond ni nani mpaka asikosolewe.
Naomba mnisaidie ndugu zangu. Nna hekari 4 za miti aina ya pines zenye umri wa miaka mitatu (3) nahitaji kwenda kukopa bank na hayo mashamba yawe ndio asset katika huo mkopo na nahitaji 20ml. Je naweza kupata? Na taratibu zake ziko vipi mpaka wakatoa huo mkopo? Natanguliza shukrani zangu za...
Asante kilimomaarifa.tajiri nimekuelewa vya kutosha hapo juu ya hilo swala na je faida yake inakuwaje? Pia soko lake linapanda na kuahuka ama liko constant?
Migogoro ya ardhi nchini ni moja ya matatizo makubwa yanayotokana na watu wengi kununua viwanja au ardhi ambayo haijapimwa na serikali kwa kushirikiana na wadau wa ardhi nchini. Kutokana na ardhi kubwa kutopimwa, hali hiyo inasababisha wananchi wengi kuingia kwenye migogoro ya ardhi isiyokwisha...
Migogoro ya ardhi nchini ni moja ya matatizo makubwa yanayotokana na watu wengi kununua viwanja au ardhi ambayo haijapimwa na serikali kwa kushirikiana na wadau wa ardhi nchini. Kutokana na ardhi kubwa kutopimwa, hali hiyo inasababisha wananchi wengi kuingia kwenye migogoro ya ardhi isiyokwisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.