Katika jamii yeyote ile duniani, tunajua kwamba katika kuvuna, ni lazima kuwe na shamba lililotayarishwa, likapandwa, na likazaa. Na ni vivyo hivyo 2navyolitizama suala hili la maendeleo, Mh.Lema, amekuwa mchango mkubwa sana ktk jamii ya kitanzania bila kuangalia jimbo lake husika kuwaandaa...