UPINZANI TANZANIA NI KAMA KUCHWA CHA MWENDA WAZIMU. NIA TUNAYO LAKINI TUMEKOSA MTU WA KUMTUMA ASIMAME BADALA YETU. Pole sana watanzania wenzangu badala ya kutumia muda mwingi wa kulalamika mitandaoni tujipange kwenye makundi madogomadogo tufanye kazi tule kwa jasho sioni namna nyingine ya...
Sipendagi kucomment ujinga ila hii kali. Yaani miaka 32 wamepiga weeee mpaka wamechoka ndo mtu anastuka istoshe bado ana masharti afu anasema serious. Na mtaisoma namba tu siku hizi mbegu 'xy' imeanza kuadimika na 'xx' za siku hizi ni hivi kama Mungu ndo anaanza uumbaji vile watoto ni wakali...
TAREHE YA KUZALIWA KWA KRISTO by Fr TITUS AMIGU
Nimeombwa nifafanue tarehe ya kuzaliwa Yesu Kristo kama ni kweli ni tarehe 25 Desemba au la.
Lakini kwa ajili ya kuwekana sana nimeyagundua maswali mawili yanayoweza kufuata baada ya kujibu swali hili la msingi. Ndiposa nimeambatanisha majibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.