Recent content by Enock Rutha

  1. E

    Nasikitika kusema hili ila mnisamehe tu

    Utakuwa umeolewa wewe. Pole endelea kulishwa
  2. E

    Nasikitika kusema hili ila mnisamehe tu

    Ndoo unaaminika na wengi kumbadirisha mkuu wa kaya
  3. E

    Nasikitika kusema hili ila mnisamehe tu

    UPINZANI TANZANIA NI KAMA KUCHWA CHA MWENDA WAZIMU. NIA TUNAYO LAKINI TUMEKOSA MTU WA KUMTUMA ASIMAME BADALA YETU. Pole sana watanzania wenzangu badala ya kutumia muda mwingi wa kulalamika mitandaoni tujipange kwenye makundi madogomadogo tufanye kazi tule kwa jasho sioni namna nyingine ya...
  4. E

    Wakati CCM inajivua, CHADEMA wanajifunika magamba 'gubigubi'

    Upinzani Tanzania ni kama kichwa cha mwenda wazimu. Nia tunayo lkn tumekoswa wa kumtuma atutetee. Poleni watanzania.
  5. E

    Huyu mwanamke nampenda ila nashindwa nimuanzeje?

    Limtu lenyewe limevaa nguo za Mdogo wake afu eti unatafuta namna ya kuingia hapo
  6. E

    More than serious nahitaji mume wandugu

    Sipendagi kucomment ujinga ila hii kali. Yaani miaka 32 wamepiga weeee mpaka wamechoka ndo mtu anastuka istoshe bado ana masharti afu anasema serious. Na mtaisoma namba tu siku hizi mbegu 'xy' imeanza kuadimika na 'xx' za siku hizi ni hivi kama Mungu ndo anaanza uumbaji vile watoto ni wakali...
  7. E

    Mrejesho: Nimeshatembea na yule house girl

    Duh watu wanajiamini ktk uovu. Hivi huyo ni mungu wanamna gani unaenda kumuomba ili akupe kibari cha kutenda uovu kama huo.
  8. E

    World most famous people with their QUOTES from their great SPEECHES

    Badala ya kushinda tunamtuhumu mzee wa kaya mitandaoni bora tutumie muda huo kujishughulisha hata wa kumi alianza na moja. Tutazoea tu. By me
  9. E

    World most famous people with their QUOTES from their great SPEECHES

    You can't cross the river twice by Emecritus
  10. E

    25December Christmas Day

    Hamna cha kufupi hapo hiyo ni summary arafu
  11. E

    25December Christmas Day

    Hapo tu ndo huwa nachoka ingekuwa ni story flani hivi yenye mambo yetu Yale mtu achoki kusoma
  12. E

    Huyu mwanamke nampenda ila nashindwa nimuanzeje?

    Mtu mwenyewe kavaa nguo ya Mdogo wake. Watu wengine bwana
  13. E

    25December Christmas Day

    TAREHE YA KUZALIWA KWA KRISTO by Fr TITUS AMIGU Nimeombwa nifafanue tarehe ya kuzaliwa Yesu Kristo kama ni kweli ni tarehe 25 Desemba au la. Lakini kwa ajili ya kuwekana sana nimeyagundua maswali mawili yanayoweza kufuata baada ya kujibu swali hili la msingi. Ndiposa nimeambatanisha majibu...
Back
Top Bottom