Recent content by Enock Japhet

  1. Enock Japhet

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Shirika la Umeme Tanzania - TANESCO

    Tanesco wafuate wateja kwa maana ya kuwapelekea nguzo za umeme pasipo tozo au malipo ya nguzo ili ata wale ambao hawana uwezo wa kununua nguzo waweze kuingiza umeme kwenye nyumba zao kwa gharama nafuu.
  2. Enock Japhet

    Chama cha Mapinduzi (CCM) Kimetoa tamko na kulaani Jaribio lililoshindwa la kumuua Mheshimiwa Tundu Lissu

    Ccm wanajua kazi kujishaua tuu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Enock Japhet

    Watu wasiojulikana

    Basi tuuu inauma sana alshababu wake watupe adabu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Enock Japhet

    Rais Magufuli: Namshukuru Waziri wa Nishati na Madini kwa kutengua upandishaji wa bei ya umeme

    Wanachokifanya hapo ni kupiga changa la macho Kwa wananchi tu na kapiga kick ili ionenekane serikali inawatetea wananchi wakati tunajua kwamba ni maigizo ndio yanayo fanyika tu.
  5. Enock Japhet

    Swimming Pool ya kwanza kujengwa Mbeya.....

    Huo ni upambavu wa hali ya juu kwa mtoa maada
  6. Enock Japhet

    Rais Magufuli na Buhari watajwa kama marais walioangusha matumaini ya wananchi

    Kilicho ongelewa ni ukweli Kwa 100% sababu JPM ameminya upinzani na Uhuru wa vyombo vya Habari nchini Tanzania
  7. Enock Japhet

    Mbunge Lema apandishwa kizimbani, afunguliwa kesi 2 za jinai. Anyimwa dhamana

    Utawala tulio nao sio mzuri hata kidoho maana ni kandamizi sana tupaze sauti Kwa pamoja titashinda. Pole sana kamanda kwa mateso na misikosuko iliyo kupata.
  8. Enock Japhet

    Bunge lapitisha Muswada wa sheria ya huduma za habari, 2016 (the media services bill, 2016)

    Tutaisoma ile no tusio ifahamu ni kutake care tu.
  9. Enock Japhet

    Kitu nilichojifunza katika mkutano wa Rais na Wahariri wa vyombo vya habari

    Kiukweli inaumiza sana watu wanashinswa kuuliza mambo ambayo ni muhim ktk taifa letu wanaanza kuuliza mambo ambayo hata kabisa. Badala ya kuhoji Kwa kiundani zaidi kuhusu muswada habari ambao unakuja kukandamiza media hapa nchin wanaanza kuhoji mambo ambayo hata hayawahusu hata kidogo
Back
Top Bottom