Katika maisha tunaishi wote kama ndugu,haijalishi mmetoka ukoo mmoja,familia au hata taifa moja,lakini wote tunapokutana mahali tunajikuta tukiwa kama ndugu wamoja.
Nimeishi pekee kwa muda sasa nikiwa mwenyewe,kila nikiona na kusikia wenzangu wakiita na kujivunia kaka zao roho imekuwa ikiniuma...