Recent content by Engneeer

  1. E

    JamiiForums Tanzania Serikali mmeweka WIFI masokoni na stendi ila mmezipiga pin( password)

    Yuko sahihi soko moja wapo lililoweka wifi ni bukoba rwamishenye aiseh sema wameweka na mfumo wa malipo kabsa unafika pale buku ni masaa 12 yaan kama vile wifi mtaani wamezungua sana wangetuachia sisi hiyo show
  2. E

    JamiiForums Tanzania Ndio maana ikawekwa siku ya hukumu ili kutolewa haki zilizonyimwa duniani

    Jazzakallah kheir akhy allah akulipe kheir
  3. E

    JamiiForums Tanzania Msaada wa fabrication

    Mkuu kwm bado upo live? Nai hitaj
  4. E

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa Lithium nawaomba kidogo

    Kwaiyo hizo betri naunga kwa series au parallel na je Naweza pata wapi maduka wanapouza hizo lithium nataka hata za 8000mah zikiwepo
  5. E

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa Lithium nawaomba kidogo

    Asante sana mkuu naomba unisaidie namba yako mkuu kuna mengi ntaomb unishauri 0769444542 au nitext ahsante
  6. E

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa Lithium nawaomba kidogo

    Mkuu asante sana kwa elim yako ila sitak moja nataka nitengeneze betri nyingi kwa ajili ya masoko ndo maaana nkaomba mbinu za ziada
  7. E

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa Lithium nawaomba kidogo

    Wakuu habari ya muda huu, poleni na majukumu Nina changamoto yangu moja naomba msaada, nina taa yangu moja ni Watts 5 Dc nataka ikae inawaka kwa masaa 12 na kuchaji simu pia. Hivyo nilikuwa nawaomba wataalamu wa betri za (Li-ion) Lithium mnisaidie naweza kutumia betri ngapi na za mAh ngapi...
  8. E

    JamiiForums Tanzania Kama uislam unapambwa kuwa dini ya amani (religion of peace) kwanini hata nchi ikijaa waislam bado wanauana kwa sababu ya dini ?

    au siyo 😅 dah ama kwel eb tuyaache kila mtu aamini anachokiamini
  9. E

    JamiiForums Tanzania Kama uislam unapambwa kuwa dini ya amani (religion of peace) kwanini hata nchi ikijaa waislam bado wanauana kwa sababu ya dini ?

    Ivi nyie hamuwezi kukaa mkaongea mengine au mkaleta nyuzi nyngne mbali na uislam??? Kama hamuupendi achana nao manaa hata mkiuponda kwa namna gani uislam ni namba moja dunian na ndo Dini ya kwel huko kwengine ni sehem ya kukusanya kipato tu sasa bas naomba mkae mtulie na mustache uislam kama ulivo
  10. E

    JamiiForums Tanzania Kwa Waislam tu

    Upo sahihi akhy ila sasa Allah akaja tena akamalizia kwa kusema “Na unapowaona wakizama katika maneno ya dhihaka, basi jiepushe nao…” (6:68) Haijalishi ni vipi tu kaka tuwaache uzuri wanajua tu hamna mgeni hapa lakn pia kama ulivosema hawawez kukuridhisha mpk mfate mila zao ivo tukaushie...
  11. E

    JamiiForums Tanzania Kwa Waislam tu

    Ndugu yangu naomba tuheshimiane “Nyinyi mna dini yenu, na mimi nina dini yangu.” Nmekuheshimu sana ndo maana nkasema huu uzi ni kwa ajili ya waislam tu kwaiyo sijui uku umekuja kufanya nini kwa hiyo naomba kila mmoja awe na mipaka kwa mwenzake na pia kabla ya kuongea chochote kitafakari mara...
  12. E

    JamiiForums Tanzania Kwa Waislam tu

    Asssalam alykum warrahmatullah wabarakatuh kheir ndugu zangu katka imaani Allah anasema katika quran tukufu Surat Al-An‘ām (6:108) “Wala msiwatukane wale wanaowaabudu (miungu) badala ya Mwenyezi Mungu, wasije wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa uadui bila ya kujua. Hivyo ndivyo tulivyopamba kwa...
  13. E

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Huyo kashachanganyikiwa tu anatafuta pa kujipenyezea unajua mtu akishatoka kwenye uislam direction yake inapotea kabisa kwani uislam ndo maisha ya kila mwanadamu na atakaeiacha bas amepotea!!!!!!!
  14. E

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Hawezi jibu
Back
Top Bottom