Nimekuwa na tatizo la kusikia vitu vinanichoma choma kwenye vidole vya miguuni na kuisi miguu kuchemka hill tatizo linanifanya nikose hata usingizi naomba mwenye ujuzi anisaidie jamani nateseka mwenzenu
Simu yangu ni Vodafone laini mbili moja inatumia laini ya Voda na inaruhusu internet nyingine inatumia lani zote lakini uwezi kuingia internet sasa naomba msaada was kuiwezesha lani inayoruhusu internet itumie laini zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu mi napiga telecomm engineering nimekuwa najiulizaga kuhusu MSAN zinazofungwa pembezoni mwa barabara zina kazi gani kwenye mawasillano mwenye ufahamu wa hiki kitu tusaidiane
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani mwenye kujua dawa au namna yoyote yakunisaidia ili kuondokana natatizo la kupasuka pasuka midoma ambalo ilimenisumbua kwa muda mrefu msaada jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.