Jamani kwa yule anayefahamu sehemu ambayo naweza nikapata wino wa printer aina ya canon pixma ip1900 aniambie, ikiwezekana na bei nataka il nikienda mahal penyewe niwe nimeenda jumla ni kununua tu.
Jamani wana JF nahitaji kujifunza udereva wa magari kwa mda mfupi kutoka Dar es salaam kwasababu mm mwenyewe nipo dar es salaam, nahitaji mnitajia mda wa kumaliza hayo mafunzo ndani ya kipind kifupi pamoja na ada yake na iwe wilaya ya kinondoni.
Kwa mimi ninayesoma chuo kikuu cha Dar es salaam niliona tangazo linalohusu wale walio-appeal kwenye ofisi inayohusika na mambo ya mikopo walisema hivi kwa wale wote walio-appeal majina bado hajatoka kwahiyo wajilipie ada kwa gharama zao binafsi mpaka pale watakapopata majina kutoka bodi ya...
Bro nimekuelewa vizur na nalitambua hilo okay? kila mtu na upeo wake wa kufiria ktk maisha yake namaanisha kuna watu sawa wakishaingia kwenye mahusiano bac vitu vingine vyote vya msing anavitupilia mbal na vilevile wapo watu wapo kwenye mahusiano lakin bado vile vitu vya msing anavikumbuka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.