Recent content by Engineer D

  1. E

    ITV vs Rais Magufuli na CCM

    ni star tv
  2. E

    Warioba na Tume yake wajiunga na Upinzani

    huyo mzee six anayekusanya maoni bungeni yeye anazeeka vizuri
  3. E

    Mama Salma Kikwete: Ni mke au mtendaji wa Serikali?

    Kama kweli rais alimtuma huyo salma kumwakilisha katika msiba ule hali akijua mkewe si mtendaji wa serikali basi hapo ni wazi rais wetu amevunja katiba alioapa kuilinda maana kwa katiba ya sasa jamhuri ya muungano ina maraisi watano kwa nini rais asitume mmoja kati ya hao wanne hii ni dharau
  4. E

    Mbowe na Slaa wake wameshindwa uongozi

    Hawa magamba wana matatizo kweli yaani kwa makusudi na bila hata chembe ya aibu wanajaribu kuwachafua watu safi wasio na tuhuma yoyote ndani ya Chama na nje. Harafu eti wanamsafisha mtu kama lowassa sisi wapenzi wa Chadema na UKAWA tunawakubali manahodha wetu DR.SLAA na MBOWE maana ni mwiba kwa...
  5. E

    Uso kwa uso na Lowassa: Jamani Lowassa ni bonge la Kiongozi

    Alipaswa kufanya hivyo hivyo alipokuwa waziri mkuu kwa tanzania nzima sio jimboni kwake tu mimi nasema huyo ni fisadi tu.
Back
Top Bottom