Recent content by engine rock

  1. engine rock

    Mrejesho safari yangu ya kwenda kulima mkoa wa Katavi - Wilaya ya Tanganyika, kijiji cha Mwese 4

    Mkuu hongera kwa mrejesho, nauliza vipi kuhusu kilimo cha mpunga?
  2. engine rock

    Historia ya Qur'an

    Kipindi hiki, futari ndiyo kitu muhimu.
  3. engine rock

    Biashara ya Night Club Dar imekufa?

    Kuna 999 vibes, ipo sinza.
  4. engine rock

    Kwanini Kwaresma inaonekana haina uzito kuliko Ramadhani?

    Mambo yote ya kidunia huwa maarufu
  5. engine rock

    Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom

    Mavazi ya heshima siyo?wakute mtasni sasa [emoji3][emoji3][emoji3]
  6. engine rock

    Vitisho vya Godbless Lema kwa wafanyabiashara ni aibu tupu

    Kachukue buku saba yako Lumumba
  7. engine rock

    Upungufu wa Gesi na maji ndio chanzo mgao wa umeme

    Nimepita kidatu juzi, Maji ni mengi sana, R.I.P Magu.
  8. engine rock

    Nifanye nini kumudu maumivu ya kushuhudia siku za mwisho za uhai wa mke wangu?

    Pole sana mkuu, maumivi unayopitia ni makali sana, jipe moyo na umtumaini mungu.
  9. engine rock

    Sukari yafika shilingi 5,000 kwa kilo moja

    Naona taratibu , pumzi ya kumtetea bi mkubwa inaanza kukata.
  10. engine rock

    Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 80 na Majeruhii 133

    kwa viongozi wa Africa,wao kuona binadamu anakufa wala haiwasumbui.
Back
Top Bottom