Recent content by engijape

  1. E

    Ukiwa Profesa, kuna elimu yoyote ya msingi ya ziada unayokuwa nayo tofauti na elimu nyingine za chini?

    Jamani nauliza hivi kwa sababu nimeangalia kesi inayoendelea kati ya Winshear Gold Corp na Tanzania ARBN 20/25 kwa kweli inasikitisha. Profesa hana majibu yoyote yanayoweza kuishawishi Tribunal kuamua in favor of Tanzania. Kwa sababu hiyo, ninasikitika sana kuona wasomi na walimu wakongwe wa...
  2. E

    Watu wa protocol najua mpo hapa tuwekane sawa hapa

    Taifa la ajabu haijapata kutokea.
  3. E

    Watu wa protocol najua mpo hapa tuwekane sawa hapa

    Kwa mkataba kama wa DP sidhani kama katibu mkuu alihusika . waliandaa tu huko uarabuni wakauleta wakausaini
  4. E

    Watu wa protocol najua mpo hapa tuwekane sawa hapa

    jibu nilichoandika ndugu yangu. hatupingi kuwapa wageni kuwekeza. hoja ni je unawapaje? mpangaji wako ndio akuandalie mkataba halafui unausaini hata bila kuusoma.
  5. E

    Watu wa protocol najua mpo hapa tuwekane sawa hapa

    Hivi kwenye jambo lolote linalohitaji kibali cha Rais, au waziri wa sector husika, kunapotokea kuna mkataba kama ule wa DP WORLD, Rais au waziri anapitia kwanza au kuna watu wanapitia kwa niaba yake halafu baadaye yeye anaonyeshwa tu pa kuweka sahihi? Na kama ikatokea kuna mikataba ya nchi na...
  6. E

    Ushauri wangu kwa Serikali na CCM kuhusu ufafanuzi mkataba wa bandari

    Serikali ni aibu sana kuwatumia wanasiasa kujibu hoja za kisheria wasizoweza. Hii ni kwa sababu tokea mjadala wa Bandari ya DSM umeibuka, hoja za watanzania wote ni namna mkataba ulivyo. Kuna vifungo vya mkataba vinatatiza maslahi mapana ya Taifa letu Tanzania. Ni vyema mujibu hoja kitaalum...
  7. E

    Qatar ni taifa la kuigwa kwa kusimamia maadili na misingi ya nchi yao. Kwanini tusiwaige?

    Pamoja na mgao wa umeme, nafuatilia kombe la dunia, na moja kati ya vitu nilivyofurahishwa navyo, ni namna hawa wenyeji Quatar walivyosimama kidete kutetea utamaduni na mila za nchi yake. Hili ni jambo zuri na huenda katika vitu vilivyosababisha nchi hiyo kuwa juu sana kimaendeleo ni misingi...
  8. E

    Jaji Warioba ni sehemu ya kikundi cha chokochoko dhidi ya Rais Samia, wakati anavamiwa na Makonda, alikuwa na Polepole, rafiki ya Bashiru

    hapana hata wewe huwenda hujajenga kwenu. kuna uthibitisho gni kuwa umejenga kwenu? kuwa na nidhani na uwaheshimu waliokutangulia siku zako zitakuwa nyingi.
  9. E

    Kayiba Mpya ni mwarobaini wa mihimili kuheshimiana bila kijali vyama

    Ndugu wanajukwaa nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taifa la Tanzania kwa sasa tunahitaji katiba mpya. Uhitaji huu ni wa lazima kwasababu wote tumeshuhudia jinsi ambavyo mihili miwili haiko huru. Haiwezekani spika unazungumza kama muhimili halafu muhimili mwingine...
  10. E

    Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Wabunge wa upande wa pili (CHADEMA, ACT na CUF) ni vema mkajiunga CCM ili kwa pamoja tujenge nchi

    Lisu hataki kuwa mnafiki. Anasumamia yale yote aliyoyasema hayati akiwa hai. Ulitaka kwa sababu hayati hatunaye tena amsifu ?
  11. E

    Je, ni kweli Burigi ina ukubwa wa mbuga ya Serengeti ambayo ni maajabu mojawapo ya dunia?

    Swali langu je kwa hiyo ilipuuzwa na marais waliopita kwa wivu?
  12. E

    Unawezaje kufanikiwa bila nguvu ya ziada nyuma yako?

    Ndugu zangu nimekuwa natafakari sana kuhusu nguvu nyingine nje ya Mungu inayoweza kumpa mtu mafanikio bila kumtegemea Mungu ambaye mimi namtumikia kama mkristo. Hii nguvu ikoje, kuna mtu sio mkristo, siyo Muislam, ni mpagani na asiyeenda kwa yale miungu mingine, anafanikiwa ama hafanikiwi. Na je...
  13. E

    Je, ni kweli Burigi ina ukubwa wa mbuga ya Serengeti ambayo ni maajabu mojawapo ya dunia?

    Lakini Morogoro kidogo afadhali tuna hifadhi ya ukweli kama Mikumi. Wakubwa walitambua tangu enzi. Burugi ilijificha wapi?
  14. E

    Je, ni kweli Burigi ina ukubwa wa mbuga ya Serengeti ambayo ni maajabu mojawapo ya dunia?

    Ndugu zangu habari za asubuhi. Bila kujali wewe ni wa upande gani kisiasa tunaomba tujadili kama kweli Burigi ina ukubwa wa mbuga ya serengeti ambayo ni maajabu mojawapo ya dunia. Na kma ni kweli viongozi wengine walinyamazia kitu gani bila kuitangaza hifadhi kubwa namna ile. Pili, kuna...
  15. E

    Unahitaji kuwa Afisa Usalama? Give it a try

    Thanks for your good analysis
Back
Top Bottom