Ni vigumu kuelewa kama hautaki kuelewa. Ufafanuzi umetolewa mara nyingi lakini ugumu ni pale watu hawataki kuelewa. No reforms no election, CDM watashiriki uchaguzi kwa njia ambayo wataona inafaa. Ukizuia uchaguzi, tayari umeshiriki uchaguzi, ukipiga kura/ kupigiwa tayari umeshiriki. Lakini...
Uelewa mdogo Adha. alisema ataanza mchakato wa katiba mpya ktk siku 100. Unahitaji uelewa mdogo na darasa la saba kuelewa kitu hiki. Ulitaka watu wote wawe wanajeshi? utabaki mbumbu wakati tunasonga mbele
Kuna haja ya kumpuuza. Uenda alipiga chapo. Bila shaka atatueleza mengi kuhusu uteuzi mwingi wa wakuu mbali mbali ambao sifa zao ni kuteremsha vitu. Hayo si matumizi mabaya ya madaraka? Mwigulu kachanganyikiwa, nyama zake na wenzake zimeshindwa, atabaki kuropoka wakati watu wanasonga mbele...
Kama huwezi kudhibitisha lini Dr. Slaa alilipia kadi, hoja yako ni mfu na unadadia hoja mfu ya Nape. Mbona hujiulizi maswali yafuatayo.
1. Nape, Sitta walirudisha wapi kadi ya CCJ?
2. Kadi/gamba hakuifanyi kuwa mwanachama ila matendo na dhamira yako ndo inakufanya kuwa mwanachama. ni kama...
anguko la vyama dhalimu huanza na wao wenyewe kuchanganyikiwa. kumbuka mnara wa Babeli. Udhalimu uliofanywa na BM, EL na mzee wa usingizi ktk nchi hii hauwezi kuwaacha salama. kazi ndo imeanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.