Dalili hatari kipindi cha ujauzito ambazo si za kupuuzia
Hata kama umesoma sana na kuongea na wazazi mbalimbali kuhusu dalili mbali mbali kipindi cha ujauzito, bado itatokea baadhi ya wakati ambapo utakuwa huna uhakika kama unavyojisikia ni kawaida au la.
Dalili zifuatazo ni muhimu kuzipa uzito...
Diana Spencer,
Kikubwa akafanye vipimo hapo ndipo ataeleewa ukweli wa Jambo kuna uwezekano ikawa Mimba au ikawa sio mimba kwani kuna muda mwingine mawazo ya Mimba yanaweza kumfanya mtu akaishi akiwa na dalili zote za mimba kumbe hakuna cha Mimba.
Kwa hiyo akifanya kipimo kwanza atakuwa na...
Je alifanya vipimo? na akapewa ushauri wowote na pengine ni kwa nini hakupewa? kama kuna maelezo yoyote uliyopewa na Mhudumu wa Afya basi hupaswi kununua lakini kama hakuna maelezo au ushauri wowote uliosababisha aipewe basi naomba arudi kituo cha afya alipopata huduma aweze kupewe hivi vidonge...
Hatua ya kwanza: Miezi mitatu ya kwanza ya ujauzito
1. Panga kuonana na mkunga wako
Mara baada ya kujua una ujauzito, mjuliswhe daktari wako ili uweze kupanga kuonana naye. Kwenda na wakati ni jambo la msingi pindi unaonana na daktari, inategemea unaishi wapi na lazima uwe umepanga kuonana na...
JAMANI WALE WA KIGOMA NAOMBA KUBADILISHANA KITUO Mimi Mwl H. GONDO Mimi nipo shule ya sekondari nyamagoma ipo katika kata ya mtegowanoti taarafa ya nguruka wilaya ya uvinza kigoma. Hivyo mikoa ambayo nahitaji ni iringa, mbeya na njombe.mawasiliano 0768950924 au 0762439040. NAOMBA SANA...
Kweli tunahitaji mabadiliko ya kifikra maana hata wasomi wanapingana kwa maslahi yao binafisi sasa tz inaend wapi? natamani kuona maoni ya wananchi yakifanyiwa kazi na sio hujuma kama zinazoonekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.