Recent content by Enemy of the People

  1. Enemy of the People

    Kuhonga ni lazima ila Kuna kanuni zake. Zijue kanuni za kuhonga.

    Mi nadhani utakuwa sawa ukisema tu "Nakupa pesa Kwa sababu nakupenda" and unatambua kuwa anamahitaj yake. Ila ukiendelea huko kwingine unaendelea kuwafanya mabinti ni kifaa Cha kukustarehesha. Na vipi ukimpa 50k kumbe Kuna mwamba anampa 100k, vipi itapata hiyo utii na good sex uloitegemea...
  2. Enemy of the People

    Kuhonga ni lazima ila Kuna kanuni zake. Zijue kanuni za kuhonga.

    Mwanzo umeanza vizuri ila ulipoanza kuelezea kanuni ya pili, umerudi kulekule ulikokuita Kwa mwanaume mpumbavu... Maelezo Yako yaneonyesha unampa ela ili kununua pussy, respect and everything... So na wewe ni .....
  3. Enemy of the People

    Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

    Was a joke... anyway, kosa lako ni kusahau kwamba huyo binti tayar amekua na possibly akawa na mwana ambaye yupo age sawa na wewe kabisa. Punguza sana kumfatilia, zungumza nae pale inapobidi ila sio Kila mara ndo maana hata anaona unamkera. Muache kwanza muda utafika atajutia alilokukosea na...
  4. Enemy of the People

    Mdogo wangu wa kike amenitusi muda huu, ninatetemeka kwa hasira

    Sijui tunywe au ndo tusubir vitafunwa [emoji28][emoji28]
  5. Enemy of the People

    Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] daah
  6. Enemy of the People

    Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

    Jamaa... Unauhakika kweli kwenu ni Tabora?? Maana zaidi ya hiyo "Mbwa" nilichokiona wewe ni Mr. Misifa kama wale ndugu zetu
  7. Enemy of the People

    Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

    Aisee... Hili nalo tukushaur??
  8. Enemy of the People

    Nina wapenzi wawili, naombeni ushauri

    Ebu fanya ulichoagizwa na wazazi wako huko kijijini kwanza... Achana na mademu utazama
  9. Enemy of the People

    Nina wapenzi wawili, naombeni ushauri

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].... Daaah. Inasikitisha sana
  10. Enemy of the People

    Nina wapenzi wawili, naombeni ushauri

    Na ameingia na kasi kweli.... Atamaliza shule kweli huyu??
  11. Enemy of the People

    Kuna meseji nzito imemchangaya jamaa yangu

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]... Tujue kabira la mtoa mada kwanza
  12. Enemy of the People

    Kuna meseji nzito imemchangaya jamaa yangu

    Ukiona limeiva jua ndo lishaanza kuoza Ivo.... Mwambie tu ukweli Binti ndo ameshapepea huyo, ni yeye tu ndo hakuwa na taarifa... Usisahau kumpa pole pia
  13. Enemy of the People

    Ex-wife kaolewa lakini ananifatilia sana

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
  14. Enemy of the People

    Usitafute Sifa Ukweni. Wanakusanifu

    Usithubutu kujenga ukweni katika kiwanja alichopewa mkeo... Ikitokea ametangulia kufa ndo utaelewa upendo wa ukweni ni sanifu tupu
  15. Enemy of the People

    Tamu na chungu ya penzi jipya

    Unaanzasaka penzi jipya kwinginetena
Back
Top Bottom