Recent content by Enejaiza

  1. E

    JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

    Aliyoyasema Mnyika,ndiyo yanayozungumzwa na mamilioni ya Watanzania walio nje ya bunge.Pale mjengoni Mnyika kafanya kuwasilisha fikra za walio wengi ambazo zimejaa ukweli.Kwani hata wewe unayebishabisha hapa hujawahi kufikiri kuwa huyu prez. ni very weak? Tuamke!
  2. E

    JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

    Aliyoyasema Mnyika,ndiyo yanayozungumzwa na mamilioni ya Watanzania walio nje ya bunge.Pale mjengoni Mnyika kafanya kuwasilisha fikra za walio wengi ambazo zimejaa ukweli.Kwani hata wewe unayebishabisha hapa hujawahi kufikiri kuwa huyu prez. ni very weak? Tuamke!
  3. E

    John Mnyika amuita Rais Kikwete dhaifu, atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge

    Laiti tungepata watanzania 20 wenye ujasiri wa mnyika tungeondoka hapa tulipo.Mnyika is absolutely innocent na binafsi nampa moyo aendelee kusimamia msimamo wake.Big ups Hon. Mnyika.
  4. E

    Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

    Kwa kweli wangeanza na kikwazo Pind a ili huo uozo mwingine imfuate nyuma.I ca see the light from a distance!
  5. E

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Inasikitisha kuona nyota iliyoanza kung'ara ikizimika ghafla.RIP Kanumba.
  6. E

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    Hello wana-Jf: Ccm wameendelea kuonyesha matumizi mabaya ya dola.Lkn kwa kuwa tunaamini ukweli utasimama,acha uchaguzi urudiwe ili Ccm waumbuliwe.
Back
Top Bottom