Msingi wa cwt kuwa Kama ilivyo leo no matokeo ya utekaji uliofanywa na unaofaywa na serikali kufifisha vyama huru vya wafanyakazi!!!!!Tanu iliifuta TFL Kwa kumtumia kawawa Rashid na kumpoteza kabisa Michael Kamaliza!!!!
Nani hajui Margret Sita,kachero Rwehumbiza Anatoli walivyomwangamiza raise...
Lugha nyepesi anaye pinga uuzwaji wa bandari anampinga magufuli? Anayesema samia amefungua nchi anampinga magufuli!
Aliyeruhusu tena mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa wanampinga magufuli? Anayesema hakuna kama samia anampinga Magufili!
Hakika kaburi limeusikia ukweli wa makonda kuwa...
Niambieni Kama TANU ilikuwa na jengo lake inalolimiliki wakati wa kudai kinchoitwauhuru?
Ni lini CCM ilijenga ofisi Kama hawakupora viwanja maeneo na majengo waliyojengwa na fedha za serikali?
Au ikulu ya magogoni tulijenga yetu aula!!!!Vipi idaraza serikali zilizopanga nhc au msajijli wa...
Hivi kupings hoja au kitu ni kufanyaje?hivi hakuna tofauti kati ya kupings na kukosoa?CCM acheni dhana potofu ,palr serikali au viongozi eanapokosoleea utendaji au kauli zao msiuuvike kuwa ni upinzani Bali jisahihisheni kwa kumenzi Julius mogendi kambarage nyerere
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.