Recent content by ENC

  1. E

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    NJOOO NAMTUMBO KATA YA KITANDA MM NIJE RUNGWE TARIME MUSOMA (M) mwanza jiji Idara ya secondary tuwasiliane 0684 027 900 0762 382 482
  2. E

    Jamani mbona katika website ya wizara na tamisemi hakuna post ya ajira mpya za walimu?

    hebu chukua namba yangu mm ni mwenyeji huko na nimepangiwa kwetu 0757745930
  3. E

    Jinsi ya kujizuia kupizi mapema

    Ndugu wana jf naomba msaada jinsi ya kujizuia kupizi mapema. kiukwel sijawahi piga punyoto toka mwaka jana 2013 january nifanye mapenzi had mwez huu nilipofanya mapenzi na mchumba angu hii wiki ya pili huwa na pizi mapema kabla hata dk 2. na nikikaa dk 15 mzee anadai tena kwa hasira na atachukua...
  4. E

    Kwa wanandoa,ili kulinda ndoa yako na kujiweka salama ewee mwanaume zingatia hili.

    Je kwa yule aliyemkorofi kila siku nae umnyenyekee
  5. E

    Sijui lini nitapata mke mwema

    Mwombe mungu na tulia kwa kuzingatia vigezo vyako
  6. E

    Serikali yatoa kibali ajira mpya za walimu.

    Duu tunafarijiana tu ili siku ziende hakuna kitu km hicho ajira had april mosi tuvute subira
  7. E

    Sheria na taratibu za kazi ya ualimu

    vipindi 28 kwa wiki
  8. E

    Hatimae mh. Jenista Mhagama anena kuhusu ajira za walimu wapya

    Ndugu walimu watarajiwa wenzangu pamoja na hamu kubwa ya kusubiria ajira hatuna budi kuwa wapole kwan serikali yetu haina uchungu na wanainchi wake ndio maana kila mtu aliyoko wizaran anatamka anavyotaka kuwa ongopea watu wake kwa kuwa aliyeshiba hamjui mwenye njaaa . Na tatizo kubwa ni...
  9. E

    Waandishi waitwa Ikulu saa 11 Jioni hii (Feb 07, 2014)

    TBC TV inatarajia kurusha matangazo ya wajumbe wa katiba muda mfupi toka sasa jiwekeni sawa na tv zenu
  10. E

    Waandishi waitwa Ikulu saa 11 Jioni hii (Feb 07, 2014)

    Radio TBC Taifa ktk taarifa yake ya habari kwa ufipi ya saa 12 hii jion imetangaza ikulu inatarajia kutangaza majina ya wajumbe wa katiba muda wowote kuanzia sasa kwan waandishi wa habari tayari wapo ukumbi wa ikulu wakimsubiri Dr. jk aingie ukumbini
  11. E

    Nipo njia panda nisaidieni

    ok poa bro nimekupata nitafanyia kaz ushauri wako
  12. E

    Nipo njia panda nisaidieni

    Kwanza napenda kuwasukuru wote milionidhauri vizuri ns hata wale walioniponda kwani akili ni nywere kila mtu anazake. Mimi ni yule niliyeomba ushauri juu ya nilitumia USA dollars za mchumba angu kwasjili ya kujengea makaburi ya ndugu zake. wakat yy akiwa ulaya. Sasa leo naomben...
  13. E

    News: Ajira za waalimu 2013/2014

    ndugu walimu tuwe na subira kwan hazina ndogo za halimashauri hazijapokea pesa nchi nzima toka hazina kuu coz bajet ya 2013/2014 ilielekeza kuwa 7.2% ya mapato yatokanayo na kodi za line za simu zitaelekezwa wizara ya elimu lakn kwakuwa ilipingwa vikali hivyo ilivuruga malengo ya serikali kwa...
  14. E

    Naombeni ushauri wanajamvi

    ok. Narudi tena kwa mara nyingine kutoa feedback juu post yangu ya january 2. yule mchumba angu karudi toka london alinipigia cm siku mbili kabla hajaja kuwa nikampokee airport ila mm sikwenda coz awali alikataa nisiende kumpokea hivyo alikuja yy had home. nilimkaribisha tukasalimiana...
Back
Top Bottom