NAMI naongezea.
Ingewekwa Sheria Ili uweze kugombea ubunge, uwe unaishi/ umeishi Jimbo husika siyo chini ya miaka 10 mfululizo. Uwe na nyumba na wewe na familia Yako uishi Jimbo husika kwa kipindi tajwa hapo juu.
Ilivyo Sasa mtu anatoka huko anakuja kugombea hata hajui mahitaji ya wana...
Jamani Hadi kinyaa. Mimi katika mji wangu kuna watu wenye shida na taabu wanahitaji pesa kwa AJILI ya matibu tena hela kidogo tu lakini wao wanafanya upuuzi huu. Mungu awajalie 2025 warudi tena.
Acha kuwa na mawazo potofu na ya kishetani.
Hao watu wabaya kwa Sasa hawafanywi lolote.Wanaendeleza ubaya. Tunataka katiba mpya na Sheria zake ziseme Mayala akipewa nafasi siyo ya kulambamo Bali ni utumishi na akafanye hivi au vile,ikitokea kafanya hivi au vile katiba na Sheria zake ziseme...
Mbona ni kawaida sana kwa viongozi wetu kusema uongo tena kwa kutumia bunge la wananchi ambalo lilinajisiwa na mwenda zake.
Umesahau yule bwana yule aliyesema tozo za kwenye miamala ni Watanzania wameomba ingawa Mimi najua ni jamaa yule wa huko huko jijini Dar.
Kwa hiyo akitokea mpumbavu mmoja...
Wakuu ngoja nilale. Mkeka wangu uko mikononi mwa Porto nimemwomba goli Moja na mwenzaka kala red tayari. Leo nikisema kanji kashikilia nitakuwa mwongo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.