Kwa maoni yangu ya haraka,kuna shida kwako na kwa mke wako,kiasi hicho cha pesa n kikubwa ulipaswa kufanikiwa,wazo la kufungua biashara ya nguo lilikuwa zuri,ila lilikosa usimamizi na pia hakukuwa na monitoring ya matumizi ya pesa ,pesa ilitumika kiholela..mwisho imepotea bila kujua..
Ama...
Msaada tafaghali namna ya kutumia wireless ps 3 controller kwenye pc ....naitumia kwa kupitia usb...nikitoa usb nayo inatoka....je nawezaje itumia kama wireles
Ninayo ps 3 controller wireless,nimejaribu kuitumia kwenye computer kwa kutumua usb wire inafanya kazi na ninacheza game zote vyema..
Kwa sasa naitaji kuitumia kama wireless yaan bila kuchomeka usb...je naitumia vp...msaada wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.