Recent content by emmax00

  1. emmax00

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nauza Samsung Galax note 3 nipo Arusha bei 180000 njoo watsap no 0752353146 Sent using Jamii Forums mobile app
  2. emmax00

    Tujiunge tufanye kazi

    Mimi sina ajira, lakini kuna ndg yangu kanunua Noah no D, ananimbia niitumie nimpetee elf 20 kila Siku, naombeni kazi na hiyo Noah waku, no yangu ni 0752353146
  3. emmax00

    Njooni tulime

    Mkuu Shamba liko karibu na maji?
  4. emmax00

    Njooni tulime

    Huko MOSHI unajihusisha na kilimo cha nn mkuu
  5. emmax00

    Njooni tulime

    Sasa tunaweza kushirikiana kwenye kilimo West Kilimanjaro c wanafanya kilimo cha umwagiliaji mkuu.
  6. emmax00

    Njooni tulime

    Ww uko WAP mkuu
  7. emmax00

    Njooni tulime

    Arusha mkuu
  8. emmax00

    Njooni tulime

    Tungeweza share cost mkuu
  9. emmax00

    Natafuta oven,

    Kwa atakayekuwa na oven Mawasiliano :0752 353146 :0765 368866
  10. emmax00

    Natafuta oven,

    Natafuta oven ya kuweza kutengeneza mikate 20 kwa Mara moja, iwe kubwa ya milango miwili , ni kama hii sample hapa chini....
  11. emmax00

    Njooni tulime

    Habari wanajamvi wenzangu, naleta Uzi huu , ili kuweza kupata ushauri ama kama kuna MTU tunaweza kujoin tukafanya biashara ya kilimo, tukalima kilimo cha muda mfupi mm Nina milioni 1 wakuu nisaidieni kufikiri nilime kilimo gani chenye Tija asanteni.
  12. emmax00

    Natafuta kazi wakuu

    Wakuu kimya
  13. emmax00

    Natafuta kazi wakuu

    Kijana wa miaka 30 elimu kidato Cha 4 Nina ujuzi wa kuongoza watalii (tour guide) pia Ni hotelier Niko vizur jikoni(shef) Nina lesseni class D, nakuja kwenu kwa heshima kutafuta kazi kutokana Na ujuzi wangu, pia Niko tayari kufanya kazi yoyote halali ya kujiingizia kipato Kama itapatikana no...
  14. emmax00

    Nina jinsia mbili. Je, nioe au niolewe?

    Olewa tu kama inawezekana mambo ni magumu sana
  15. emmax00

    Msaada wa kazi yoyote halali wakuu

    Ningeweza pia hiyo ya mchanga lakin mkuu nina familia hapa Arusha mkuu
Back
Top Bottom