kwa nin hata wle ambao tmeomba na ndo tnapaswa tuingie mwaka wa 1 na cio wanf wanaoendelea inakuwaje inaandka did not secure? juu ya hlo mi nashndwa kuwaelewa vzr.
mimi mwenyewe nimeandikiwa did not secure hv hii luga inamaanisha nini? maana nimechaguliwa chuo cha tia dsm bachelor in accountancy. nipo njia panda kulisongesha. hawa nacte ni taasisi telekez sana kwan kn koz za non prioty jamaa yangu amepata mkopo, yy amemalza 4m6.
Mi mwl s/m natafuta mtu wa kubadilishana nae yeye aje mwanza wly ya misungwi halafu mi niende dsm wly yeyote. mawasiliano, emmanuel.stanslaus@yahoo.com
ndg yangu hao watoto wapo cha msingi tuwen makin kwa kuwa na mpenzi 1, pia jaribu kumpima mpenz wako kila mnapokutana baada ya kuwa mbali kwa muda la sivyo ni majanga. pia ni vema kuachana na ngono zembe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.