Sema shem naamini uko poa,
Nilipita mda fulani nikakuta sehemu umeacha on Id yako, kumbuka kusig off mpwa wabaya wengi wakina pdidy wenye roho njema wanahesabika humu.
Wasalaam
pdidy
nb.id sign off 05'55
Nakumbuka siku moja maeneo flan tukiongea uliwahi sema, Imba, imba mpaka watu waseme eee.. ongea kwa kuimba, fanya kazi kwa kuimba, hutubia kwa kuimba, siku zote watu wakisikia wimbo wako kwanza wanapata burudani na vilevile ujumbe. I salute you..
maadam nyimbo zako ziko hai bado uko hai bro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.