Recent content by Emmanuel R. Ntobi

  1. Emmanuel R. Ntobi

    Rais Samia Suluhu Hassan, umesahau Watanzania wanaitaka Katiba Mpya au ni hofu tu?

    “Rais Samia Suluhu Hassan, umesahau watanzania wanaitaka katiba mpya au ni hofu tu?” Katika nchi yoyote, msingi wa uendeshaji wa nchi unategemea Katiba. Katiba ni sheria kuu/sheria mama katika nchi yoyote. Sheria nyingine zote zinategemea au zinatungwa kwa mujibu wa Katiba. Wakati mwingine...
  2. Emmanuel R. Ntobi

    Uhuru wa Vyombo vya Habari unavyobinywa na Jeshi la Polisi

    Kumekuwa na sintofahamu kuhusu matukio yanayoendelea katika mkoa wa Shinyanga. Inaelezwa kuwa matukio yanapotokea Kamanda wa Polisi ambaye tangu aje mkoani Shinyanga ameonekana kutokuwa na ushirikiano na vyombo vya habari kuwa kubana kutoa taarifa za matukio kama wanavyofanya makamanda wengine...
  3. Emmanuel R. Ntobi

    Pigo lingine kwa Tundu Lissu: Mwenyekiti wa CHADEMA mkoani Singida ajiunga na CCM

    Huyu ni kwa muda mrefu tumekwisha mtenga hata kwenye Umoja wetu wa Wenyeviti wa Mikoa CHADEMA. hakuna jipya japo by Chief Ntobi.
  4. Emmanuel R. Ntobi

    Halima Mdee akutwa na kesi ya kujibu katika kesi ya anayodaiwa kutoa lugha 'chafu' dhidi ya Rais Magufuli

    We hakimu Simba! Umezidi kujidhalilisha mno inabidi afungee break! ANYWAYS TUTAMUHITAJIA AFIKE MAHAKAMANI HUYO ALIEDHALILISHWA!!!
  5. Emmanuel R. Ntobi

    Mjue Dorcas Francis - Mgombea nafasi ya Mwenyekiti BAVICHA Taifa

    CHADEMA in Hazina kubwa Sana za Vijana.
  6. Emmanuel R. Ntobi

    Uchaguzi wa CHADEMA Kanda ya Serengeti: Heche ni turufu pekee iliyosalia Kanda ya Ziwa. Kumwondoa Heche ni kuisalimisha Kanda kwa CCM

    Viongozi pamoja na WanaCHADEMA Kanda ya Serengeti, tunamuhitaji sana Mhe. Heche kuliko yeye anavyoihitaji Kanda yetu. Mwamba Heche tuvusheee.....
  7. Emmanuel R. Ntobi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro aenguliwa

    Hizi tumbua tumbua zina double standard sana, Mbona Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa Shinyanga ni fisadi sana Na kapoteza mamilioni ya fedha lakini bado anadunda? Mradi kama huo wa Ujenzi wa kituo cha Afya, ujenzi wa Chinji la kisasa, Ujenzi wa Dampo na ujenzi wa Barabara kote ni hivyo...
  8. Emmanuel R. Ntobi

    Barrick yatangaza rasmi kifo cha Acacia!. Acacia yakubali rasmi kununuliwa baada ya Barrick kuongeza dau!

    Pascal, Unaweza kutusaidia kufahamu kama Noah zetu tutazipata ama la..! BARRICK kumnunua ACCACIA sie Wadanganyika tunafaidika na nini? Huku mtaani wanaulizia Balimi na Noah zao.
  9. Emmanuel R. Ntobi

    Sakata la Musiba: Makamba, Kinana waibuka. Waandika waraka mzito Baraza la Wazee Wastaafu CCM

    The 12 Laws of Karma are not laws. ... To set you on a path of good karma and free yourself from bad karma as it were. If the world around you is chaos, it is because there is chaos within yourself.
  10. Emmanuel R. Ntobi

    Al Jazeera yazungumzia Uhuru wa Kujieleza nchini Tanzania

    https://www.jamiiforums.com/threads/aljazeera-yachambua-maandamano-ya-mange-yaishangaa-serikali.1436633/
Back
Top Bottom