beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Kayombe Masoud Lyoba kutokana na usimamizi usioridhisha wa miradi ya maendeleo
Moja ya usimamizi mbovu anaodaiwa kufanya ni usimamizi wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya na ni kutokana na ununuzi wa dawa ya mchwa kwa gharama kubwa ya Tsh. Milioni 66 kinyume na gharama halisi
Pia, kutozingatia taratibu za manunuzi na miongozo ya matumizi ya fedha za ujenzi wa hospitali za Halmashauri na kufanya ununuzi wa kokoto kwa gharama kubwa ya Tsh. Milioni 45 na kuzisafirisha kwa Tsh. Milioni 42
Kutokana na hayo, Meneja wa TARURA Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Mhandisi Godfrey George Mlowe atakaimu nafasi ya Ukurugenzi wa Halmashauri hiyo
Moja ya usimamizi mbovu anaodaiwa kufanya ni usimamizi wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya na ni kutokana na ununuzi wa dawa ya mchwa kwa gharama kubwa ya Tsh. Milioni 66 kinyume na gharama halisi
Pia, kutozingatia taratibu za manunuzi na miongozo ya matumizi ya fedha za ujenzi wa hospitali za Halmashauri na kufanya ununuzi wa kokoto kwa gharama kubwa ya Tsh. Milioni 45 na kuzisafirisha kwa Tsh. Milioni 42
Kutokana na hayo, Meneja wa TARURA Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Mhandisi Godfrey George Mlowe atakaimu nafasi ya Ukurugenzi wa Halmashauri hiyo