Tatizo la wabongo mlishazoea polojo hata dakika tano zinatosha kutangaza ilani na sio polojo nying zisizo na maana huo ni uongo ukiona mtu anaongea sana huyo ni muongo na ndo maana miaka 50 tunadanganywa tu jitambue ww!!
Kama alikuwa muhsika au mtuhumiwa asingeruhusiwa na nec kuchukua form nyie fisiem mtasema sana sasa subirini muone hiyo kazi ya sisi malofa na mateja tereh 25
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.