Recent content by Emmanuel kant

  1. E

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awazawadia Serengeti Boys, U17 milioni 500

    Kwenye familia yako Kuna zezeta wangapi ukitoka wewe!?
  2. E

    JamiiForums Tanzania MV. Mwanza Hapa Kazi Tu inatoa huduma au hapana?

    Hakukurupuka sgr ilikuwa ifike hadi bandarini ipeleke mizigo UG amekufa na maono yake ndio maana unaona alikurupuka
  3. E

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awazawadia Serengeti Boys, U17 milioni 500

    Kwenye hizi zawadi Kuna hata shilingi 10 inatoka kwenye mishahara wake au zote ni kodi zetu!?
  4. E

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Huku kweli tuna kijitabu
  5. E

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kombo: Rais Analaumiwa Wazazi Hawalaumiwi, Tumuoneeni huruma kiongozi wetu

    Hivyo viwango wapelekee wajinga wenzio
  6. E

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kombo: Rais Analaumiwa Wazazi Hawalaumiwi, Tumuoneeni huruma kiongozi wetu

    Wewe tueleze umeelewa nini kauli yake hizo technicalities za kitoto achana nazo
  7. E

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kombo: Rais Analaumiwa Wazazi Hawalaumiwi, Tumuoneeni huruma kiongozi wetu

    Wewe kwenye hiyo crip umeelewa attack ni virungu au nini kwa mtazamo wako, sisi tumeelewa risasi wewe tuambie umeelewa nini by attack
  8. E

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kombo: Rais Analaumiwa Wazazi Hawalaumiwi, Tumuoneeni huruma kiongozi wetu

    Unaelewa kitu kinaitwa mkutadha(context) ? Au elimu pekee unayoijua wewe ni materialistic philosophy!? Kombo akisema akisema vijana walirusha mawe polisi waka attack Oct 29 wewe unapata picha polisi wali attack kwa virungu au risasi!?
  9. E

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kombo: Rais Analaumiwa Wazazi Hawalaumiwi, Tumuoneeni huruma kiongozi wetu

    Na wewe kwanini unatupangia nini tujadili na nini tusijadili
  10. E

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kombo: Rais Analaumiwa Wazazi Hawalaumiwi, Tumuoneeni huruma kiongozi wetu

    Na Mimi niwekee hiyo aliyosema attack ni virungu
  11. E

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kombo: Rais Analaumiwa Wazazi Hawalaumiwi, Tumuoneeni huruma kiongozi wetu

    Duuh!!! Kwahiyo Kiranga hapa Kombo anasema wazazi wa vijana wanalaumu kwa sababu vijana wao wamepigwa virungu au wamepigwa risasi!?
  12. E

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Sifuatilii nakutana nazo tu
  13. E

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Wewe ni nani unaamua maneno flani yana utata na maneno flani hayana utata. Wewe hayo ya virungu umetoa wapi kama sio kuzusha!? Mimi naongelea kilochotokea mtaani attack ilimaanisha risasi hiyo attack ya virungu labda huko US na Kombo anaiambia dunia watu waliuawa kwa sababu ya kurusha mawe sio...
  14. E

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Kwa sababu Kuna watanganyika wenzetu ambao wako royal kwa CCM kuliko Tanganyika
  15. E

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Relative to Oct 29 attack nini!? Zaidi ya kuua. Kombo lini umemsikia akielezea watu kupigwa virungu!? Dunia umeiskia lini ikielezea Tanzania watu wanapigwa virungu zaidi ya kuuawa. Hayo mambo ya virungu umetoa wapi!? Au ndio unataka ku-sound smart kwenye kila kitu una mawazo unique!?
Back
Top Bottom