Walianziwa wapinzani na wanaharakati, wafuatiwa na watumishi wa kiroho, wakafuatiwa na watu wakosoaji tu, wakafuatiwa na wanaccm waliorekodiwa wakikosoa, ikafika kwa kina january, polepole, ndugai, sasa nchimbi. Who is next!?
Ni ahadi naiona ikitimia. Walianza njia ya kuwatoa ni kuwapeleka ubalozini kama nchimbi na polepole soon mtawekwa kizuizini kama VP au kusikojulikana kama polepole joka limechoka kunywa damu za malayman
Mistake kubwa kufanya chadema ni kumpokea Lowasa, chadema ilijipambanua kama wapinga ufisadi toka wampokee Lowasa sera yao ikahamia kwenye demokrasia. 2015 chadema na wao walikuwa wanagawa rushwa hadharani, wanajaza matenk ya boda boda nk.
Kama ni hivo kura zilitakiwa kuwa kidogo kuliko wakati wote kwa sababu watanganyika pia walimkataa kwa wingi kuliko raisi yeyote wa muungano kama yeye alivyoshinda kwa wingi Zanzibar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.