Kama ni hivo kura zilitakiwa kuwa kidogo kuliko wakati wote kwa sababu watanganyika pia walimkataa kwa wingi kuliko raisi yeyote wa muungano kama yeye alivyoshinda kwa wingi Zanzibar
Wakuu hii imakaaje kwamba kwamba wazanzibar ndio wanauchungu na Zanzibar ila watanganyika wao ni mapoyoyo yanalipwa kufanya chochote.
Wazanzibar walikupigia kura kwa sababu ya uwezo au uzanzibari wako!? Watanganyika wao ni wakurubuniwa kufanya chochote
Alipo ingia makamba tuliambiwa ameomba tilion sita sababu matengenezo hayajafanyika kwa miaka mitano ya Magufuli. Huyu waziri wa sasa ameomba bei gani!?
Kwamba kitima alikuwa hasemi kwa usitaarabu, gwajima hakusema kwa usitaarabu na polepole naye hakusema kwa usitaarabu, Yule Mzee kada wa CCM waliyempa kesi ya uhaini hakusema kwa ustaraabu!?
Nyerere ni Moja ya sababu hatuna Africa Moja, Nkrumah alimtuhumu kuwa ni kibaraka wa wazungu yawezekana kweli. Akaanzisha kijumuiya Cha East Africa nacho kikamfia akaamua abaki na Zanzibar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.