Recent content by Emmanuel kant

  1. E

    JamiiForums Tanzania Je, wajua Tanzania ina Makamu wawili wa Rais? Mmoja ni halali na mwingine ni batilifu hadi Septemba 4 ndipo anakuwa halali. Rais na VP Sio Wabunge!

    Kwani taratibu za kumfukuza zimefuatwa!? Hata kusikilizwa hajasikilizwa
  2. E

    JamiiForums Tanzania Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama mtafikiwa tu mwenzako akinyolewa zako tia maji

    Hao tiali maji ya shingo wanaelekea kuanza kunywa vibaba ondoa hayo matumaini
  3. E

    JamiiForums Tanzania Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama mtafikiwa tu mwenzako akinyolewa zako tia maji

    Yule anawekwa kwenye kona mda wowote ni mwepesi kama pamba
  4. E

    JamiiForums Tanzania Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama mtafikiwa tu mwenzako akinyolewa zako tia maji

    Walianziwa wapinzani na wanaharakati, wafuatiwa na watumishi wa kiroho, wakafuatiwa na watu wakosoaji tu, wakafuatiwa na wanaccm waliorekodiwa wakikosoa, ikafika kwa kina january, polepole, ndugai, sasa nchimbi. Who is next!?
  5. E

    JamiiForums Tanzania Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama mtafikiwa tu mwenzako akinyolewa zako tia maji

    Mchawi akishawatoa kafara watu wengi. Mizimu hutaka damu ya watoto wake ile damu ya watu wa mbali huwa sio tamu tena.
  6. E

    JamiiForums Tanzania Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama mtafikiwa tu mwenzako akinyolewa zako tia maji

    Ni ahadi naiona ikitimia. Walianza njia ya kuwatoa ni kuwapeleka ubalozini kama nchimbi na polepole soon mtawekwa kizuizini kama VP au kusikojulikana kama polepole joka limechoka kunywa damu za malayman
  7. E

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Hakuna kitu kama hicho nchimbi ni opportunistic tu, labda anauafadhali
  8. E

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Mistake kubwa kufanya chadema ni kumpokea Lowasa, chadema ilijipambanua kama wapinga ufisadi toka wampokee Lowasa sera yao ikahamia kwenye demokrasia. 2015 chadema na wao walikuwa wanagawa rushwa hadharani, wanajaza matenk ya boda boda nk.
  9. E

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Alisimama kumnadi kampeni za 2015 kutoka kumwita fisadi papa anayetakiwa kufungwa
  10. E

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Kipindi cha Mbowe tuliwaambia nyinyi ni nyumbu huwa mnamahaba binafsi na watu. Lissu ni mzuri kwa sasa lakini sio hana madudu
  11. E

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Kumsafisha pia alitumwa na Mbowe!? Kwenye kikao Mnyika ndio alimkataa Hao wengine walimkubali kabla hata ya hiyo collective responsibility
  12. E

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Huyu aliye Mponda Lowasa baadae akamsafisha, Labda Mnyika.
  13. E

    JamiiForums Tanzania Samia anaamini wazanzibar waliungana kumpigia kura, ila haamini watanganyika waliungana kuandamana(kumkataa) bila kulipwa na mtu

    Kama ni hivo kura zilitakiwa kuwa kidogo kuliko wakati wote kwa sababu watanganyika pia walimkataa kwa wingi kuliko raisi yeyote wa muungano kama yeye alivyoshinda kwa wingi Zanzibar
Back
Top Bottom