Unaelewa kitu kinaitwa mkutadha(context) ?
Au elimu pekee unayoijua wewe ni materialistic philosophy!?
Kombo akisema akisema vijana walirusha mawe polisi waka attack Oct 29 wewe unapata picha polisi wali attack kwa virungu au risasi!?
Wewe ni nani unaamua maneno flani yana utata na maneno flani hayana utata.
Wewe hayo ya virungu umetoa wapi kama sio kuzusha!? Mimi naongelea kilochotokea mtaani attack ilimaanisha risasi hiyo attack ya virungu labda huko US na Kombo anaiambia dunia watu waliuawa kwa sababu ya kurusha mawe sio...
Relative to Oct 29 attack nini!? Zaidi ya kuua.
Kombo lini umemsikia akielezea watu kupigwa virungu!?
Dunia umeiskia lini ikielezea Tanzania watu wanapigwa virungu zaidi ya kuuawa.
Hayo mambo ya virungu umetoa wapi!?
Au ndio unataka ku-sound smart kwenye kila kitu una mawazo unique!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.