Recent content by Emmanuel kant

  1. E

    JamiiForums Tanzania Samia anaamini wazanzibar waliungana kumpigia kura, ila haamini watanganyika waliungana kuandamana(kumkataa) bila kulipwa na mtu

    Kama ni hivo kura zilitakiwa kuwa kidogo kuliko wakati wote kwa sababu watanganyika pia walimkataa kwa wingi kuliko raisi yeyote wa muungano kama yeye alivyoshinda kwa wingi Zanzibar
  2. E

    JamiiForums Tanzania Samia anaamini wazanzibar waliungana kumpigia kura, ila haamini watanganyika waliungana kuandamana(kumkataa) bila kulipwa na mtu

    Wakuu hii imakaaje kwamba kwamba wazanzibar ndio wanauchungu na Zanzibar ila watanganyika wao ni mapoyoyo yanalipwa kufanya chochote. Wazanzibar walikupigia kura kwa sababu ya uwezo au uzanzibari wako!? Watanganyika wao ni wakurubuniwa kufanya chochote
  3. E

    JamiiForums Tanzania January Makamba alipewa tilioni 6 za matengenezo tanesco huyu wa sasa amepewa tilion ngap!?

    Pesa za miradi nasikia ganji yake ni nzuri kama ule uwanja wa mkapa na arusha
  4. E

    JamiiForums Tanzania January Makamba alipewa tilioni 6 za matengenezo tanesco huyu wa sasa amepewa tilion ngap!?

    Alipo ingia makamba tuliambiwa ameomba tilion sita sababu matengenezo hayajafanyika kwa miaka mitano ya Magufuli. Huyu waziri wa sasa ameomba bei gani!?
  5. E

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini simu za iPhones hazihusishwi kwenye mifumo ya Serikali?

    Na wasiwasi na app hizo kama hazifanyi surveillance. Iphone 15 ilikuwa hazisomi laini mpaka ucomply simu yake iwe inakuwa taped
  6. E

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Hananja: Sikatazi watu waseme lakini tuseme kwa Ustaarabu

    Kwamba kitima alikuwa hasemi kwa usitaarabu, gwajima hakusema kwa usitaarabu na polepole naye hakusema kwa usitaarabu, Yule Mzee kada wa CCM waliyempa kesi ya uhaini hakusema kwa ustaraabu!?
  7. E

    JamiiForums Tanzania Nyerere alipenda sana chama cha CCM kuliko nchi ya Tanzania

    Kama huoni tatizo na uko ulaya unabeba maboksi wewe ni tabla lasa utabaki kubeba maboksi
  8. E

    JamiiForums Tanzania Nyerere alipenda sana chama cha CCM kuliko nchi ya Tanzania

    Sasa kama anaingia bila visa hiyo passport utalinganisha na wewe!? Beside amini unacho amini
  9. E

    JamiiForums Tanzania Nyerere alipenda sana chama cha CCM kuliko nchi ya Tanzania

    Ujinga wake ni nini!? Kwamba kuingia nchi jirani kwa passport ni ujanja ila mzungu anakuja free. Mwisho Nyerere anakili alikosea
  10. E

    JamiiForums Tanzania Nyerere alipenda sana chama cha CCM kuliko nchi ya Tanzania

    Nyerere ni Moja ya sababu hatuna Africa Moja, Nkrumah alimtuhumu kuwa ni kibaraka wa wazungu yawezekana kweli. Akaanzisha kijumuiya Cha East Africa nacho kikamfia akaamua abaki na Zanzibar
  11. E

    JamiiForums Tanzania Iweje Zanzibar Tarehe 1 Muharam 1448 Sikukuu Inaadhimisha Mwaka wa Kiislamu Bara ni Siku ya Kazi?

    Kama ni nchi Moja Zanzibar wanapolazimisha kila mtu kufunga mbona Huwa hatukusikii ukisema kwanini bara hawafungi
  12. E

    JamiiForums Tanzania KERO KERO: CRDB BANK na makato hewa HEWA

    CRDB ni wakuwahama mara Moja mapato Yao ni zaidi ya 50k kwa mwezi
Back
Top Bottom