Mimi namfahamu huyu waziri kabla ya hapo alipo nadhani tusimshagae kulalamika kwasababu siyo karma yake ya kimapambano, rushwa inatabia ya mapambano mapambano.
Leo mitandaoni Kuna gumzo kubwa litokanalo na walaka wa katibu mwenezi wa CCM, Sophia Mjema ambaye siyo wa kwanza katika Taifa hili kuwatamkia Watanzania masuala yahusuyo uongezeaji wa muda kwa viongozi wetu wa kitaifa.
Mlolongo huu wa matamko/walaka kutoka kwa Watanzania wenzetu unatutia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.