Hongera,nakushauri uanze kidogo,kama unajifunza,anza na angalau vifaranga 50 hadi 100,hapo unajifunza vingi sana,hasa kwa sababu umri wa vifaranga ndo umri wenye changamoto nyingi sana katika ufugaji,cha ziada,wachunguze kuku wako Mara kwa mara,ishara ya kwanza ya kukua mgonjwa ni kuzubaa,ukiona...