kijana mbona hata ujamaliza mwaka tokea umalize,,suala la ajira rasmi linahitaji uvumilivu,,na kusoma siyo kigezo cha wew kuchagua kazi wakati kazi unayoichagua wenzako wanalelea nayo familia,,kua na subira na uvumilifu,,na usichague kazi alimradi tu unajua unafanya kwa madhumuni gani,,